Hizi stats can be misleading sometimes...Mourinho bana apewe watu takwimu hizo hapo ubaoni mnaungana na mamluki kufukuza kocha ili tuendelee kupata tabu
Today's win means that Jose Mourinho now has the best win% of any manutd Manager.
Jose Mourinho 60.3%
Sir Alex Ferguson 60.1%
Ernest Mangnall 54.1% Sky Sports Statto on TwitterView attachment 889327
Kuna watu wengine inabidi ukae kimya tu mkuu usijibu sijui ile porto alipokuwa akiifundisha hadi kubeba kombe la ulaya alikuwa akisaidiana na pep na sir alex mwingine anatoa post ya maumivu kwa kuwa dhamira yake ni kocha tu afukuzwe kisha akishafukuzwa???Eti Mourinho sio kocha, ila analindwa na historia yake
Hiyo historia ilishushwa na Roho Mtakatifu au aliijenga yeye kwa uwezo wake?
hapana vipi kama angepata wachezaj wale ambao ni chaguo lake halisi? Maana kuna muda anaomba mchezaj ana mkosa kisha anasema basi hata tuangalie chaguo la piliHizi stats can be misleading sometimes...
Nafikiri inaleta maana zaidi tukisema uzembe wa Man utd uliwapa wale madogo magoli ya fasta.Uliona ni uzembe wa wale madogo tu.
Anyway, tuone leo.
Juzi nimewauliza washikaji zangu flani hivi, mfano Pochetino mnamsifia sana, na hata mimi siku moja natamani aje United, je hafungwi?Kuna watu wengine inabidi ukae kimya tu mkuu usijibu sijui ile porto alipokuwa akiifundisha hadi kubeba kombe la ulaya alikuwa akisaidiana na pep na sir alex mwingine anatoa post ya maumivu kwa kuwa dhamira yake ni kocha tu afukuzwe kisha akishafukuzwa???
Tumefukuza moyes na van gaal kuna tulichoambulia?
Moyes kashindwa hata kushika nafasi ya tano na timu bingwa wa epl
Bana wee mi nimeamua kutoa sapot kwa kocha yoyote ambae atakuwa united hata aje nani hii fukuza hamna kitu
Siku nyingine timu apewe scholes huyu anakosoa hata under 11 hajawah kufundisha mwenzie Garry neville alikipata cha moto valencia aliwah kuuliza barcelona anakufungaje bao 5 kabla hajawa kocha kilimkuta valencia alipopewa timu alikula hizo hizo na barca sasa hiv yupo kimyaaJuzi nimewauliza washikaji zangu flani hivi, mfano Pochetino mnamsifia sana, na hata mimi siku moja natamani aje United, je hafungwi?
Mechi ya UEFA na Juve alipigwa, kaishapigwa na Watford ligi Kuu, kapigwa na Barcelona (ambayo kwa sasa si tishio sana) kipigo kibaya nyumbani
Nikawauliza kuhusu maendeleo ya Pep, UEFA n.k
Yaani hawana majibu ya maana.
Siku zote huwa nasema,hakuna kazi rahisi kama kulaumu
Hahahaha, nakumbuka yaliyompata GarrySiku nyingine timu apewe scholes huyu anakosoa hata under 11 hajawah kufundisha mwenzie Garry neville alikipata cha moto valencia aliwah kuuliza barcelona anakufungaje bao 5 kabla hajawa kocha kilimkuta valencia alikula hizo hizo na barca sass hiv yupo kimyaa
I think ungeattack context iliyopo kwenye ujumbe alioandika ingeleta maana kuliko kuattack an imaginary personality u created for him.Ukute uko namtumbo huko kijijini unalinda shamba la bibi yako. Shemeji yako kaja na tecno umemkwapua na umeingia jamii forum kuchangia mada bila kujua kipi ni kipi.
Next time uwe unauliza kabla ya kukurupuka kama umeota ndoto za kushinda biko.
GGMU
Ndo yupo jamaa hapa anakwambia mourinho sio kocha yeye anafikir wakina klopp wanafurahia kucheza fainali bila kuchukua ndoo kuna watu hawana nidhamu ya kuthamini shughuli za watu kwa kuwa anakaa kwenye ka tv anaangalia mpira basi anajua nao wale wapo kama yeyeHahahaha, nakumbuka yaliyompata Garry
Yeah anaweza kudribble pia kutokana nguvu zake anaweza kuoverwhelm mabeki wa timu zingine kirahisiNilichogundua ni mzur akitokea pembeni mourinho alimpeleka pembeni katikati akasimama fellain na sanchez
Ofcourse akicheza pamoja na Sanchez itakuwa vizuri au acheze na martial halafu nyuma yao awepo Sanchez au lingard au mataNi mzito mno ila anahitaji washambuliaji wa kusaidiana naye kwa karibu. Mara nyingi kunakuwa na distance kubwa kati yake na wasaidizi kwenye attack.
Watu wengi hamu yao ya kutaka ushindi inawafanya washindwe kuona factors nyingine kwenye sokaNdo yupo jamaa hapa anakwambia mourinho sio kocha yeye anafikir wakina klopp wanafurahia kucheza fainali bila kuchukua ndoo kuna watu hawana nidhamu ya kuthamini shughuli za watu kwa kuwa anakaa kwenye ka tv anaangalia mpira basi anajua nao wale wapo kama yeye
Yaani nimemdharau sana, kwa alichofanyaI think ungeattack context iliyopo kwenye ujumbe alioandika ingeleta maana kuliko kuattack an imaginary personality u created for him.
We are all United, Manchester not Newcastle.
Yaani jose mou ni chizi kwanini usingekuwa na subiri unatusibitishia viph kama ana bifu na RashfordLeo kakazia bifu kwa dogo Rashford hata handshake hamna. What a manager!!! Ridiculous. Aondoke kabisa chizi yule
Hataki tena kazi ya ukocha hahahahaSiku nyingine timu apewe scholes huyu anakosoa hata under 11 hajawah kufundisha mwenzie Garry neville alikipata cha moto valencia aliwah kuuliza barcelona anakufungaje bao 5 kabla hajawa kocha kilimkuta valencia alipopewa timu alikula hizo hizo na barca sasa hiv yupo kimyaa
Mkuu naona kuna harufu ya uchochezi hapaNaona wanaomponda mourinho wote kimyaaaaa
Jkt ruvu wanatumia uwanja wa general isamuhyo siyo mabatini Mkuu.Narudia tena Maneno yangu. Mou sio kocha. Ni mtu ambae anawekwa kwa sababu ya history yake katika soka ila sio uwezo wake Wa sasa katika soka.
Hebu cheki game plan yake aliyoingia nayo Jana kabla ya kufanya sub tatu. Katika starting eleven yake aliweka wachezaji 6 nyuma. Yaani united ipo old Trafford tena ikicheza vs Newcastle unaweka nyuma wachezaji 6. Huu ni upuuzi ambao hata Kocha Wa Jkt Ruvu ya Masau Bwire hawezi ufanya ukienda pale uwanja Wa Mabatini "Mlandizi"
Game approach ya kocha ni njia kubwa ya kutafsiri uwezo Wa kocha. Jana kama ingekuwa si uzembe na upuuzi Wa Newcastle tungekuwa tunasema mengine.
View attachment 889111
Mimi pia siyo muhumini wa fukuza fukuza haijengi kabisa zaidi inawapitisha kwenye kipindi cha mpito kila mnapo leta mwalimu mpyaKuna watu wengine inabidi ukae kimya tu mkuu usijibu sijui ile porto alipokuwa akiifundisha hadi kubeba kombe la ulaya alikuwa akisaidiana na pep na sir alex mwingine anatoa post ya maumivu kwa kuwa dhamira yake ni kocha tu afukuzwe kisha akishafukuzwa???
Tumefukuza moyes na van gaal kuna tulichoambulia?
Moyes kashindwa hata kushika nafasi ya tano na timu bingwa wa epl
Bana wee mi nimeamua kutoa sapot kwa kocha yoyote ambae atakuwa united hata aje nani hii fukuza hamna kitu