rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,165 Reaction score 43,854 Oct 6, 2018 #93,521 joseph1989 said: Yaani leo mashabiki wa man wengi walitamani wafungwe ili Morinho afukuzwe, yaani wanamlaumu Sanchez kwa nini kafunga goli la tatu. Click to expand... Mourinho Ana mungu wakee...Lakini badoo why afungwe mapemaa
joseph1989 said: Yaani leo mashabiki wa man wengi walitamani wafungwe ili Morinho afukuzwe, yaani wanamlaumu Sanchez kwa nini kafunga goli la tatu. Click to expand... Mourinho Ana mungu wakee...Lakini badoo why afungwe mapemaa
911sep11 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2018 Posts 2,469 Reaction score 4,306 Oct 6, 2018 #93,522 mapumziko man u wamekutana na mameneja/C.Os, wamiliki wa tumu 'fagasoni' wenye hisa mbali mbali wakiwa na sura nyekundu na kauli yao ilikua leo mkipoteza hii mechi muanze kuongea na mawakala wenu wawatafutie timu wakati wa usajili wa dirisha dogo. kilicho tokea baada ya hapo hata sanchez katupia
mapumziko man u wamekutana na mameneja/C.Os, wamiliki wa tumu 'fagasoni' wenye hisa mbali mbali wakiwa na sura nyekundu na kauli yao ilikua leo mkipoteza hii mechi muanze kuongea na mawakala wenu wawatafutie timu wakati wa usajili wa dirisha dogo. kilicho tokea baada ya hapo hata sanchez katupia
N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 6,479 Reaction score 11,169 Oct 6, 2018 #93,523 Si shabiki wa United ila hii come back imenifurahisha kwakweli.
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,528 Reaction score 7,923 Oct 6, 2018 #93,524 FT: Man U 2 vs Newcastle 2
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,400 Oct 6, 2018 #93,525 Hongereni kwa ushindi dadeki
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Oct 6, 2018 #93,526 rubaman said: Mtarudi mlipotoka vs Chelsea mechi ijayo. Nilikuwa najua mtawagonga Newcastle United Click to expand... Hahahhaa utashangaa!! Si unajua pamoja na ubovu wetu ila timu kubwa kama sisi tunavyozikamiaga!!
rubaman said: Mtarudi mlipotoka vs Chelsea mechi ijayo. Nilikuwa najua mtawagonga Newcastle United Click to expand... Hahahhaa utashangaa!! Si unajua pamoja na ubovu wetu ila timu kubwa kama sisi tunavyozikamiaga!!
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,893 Oct 6, 2018 #93,527 Honestty said: Mou cyo wa kufukuza nawaambia Click to expand... Hahahaah
BABA-D JF-Expert Member Joined Jul 23, 2015 Posts 1,242 Reaction score 1,032 Oct 6, 2018 #93,528 Ngoja nihamie UZI WA REAL MADRID
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,893 Oct 6, 2018 #93,529 Mbao za Mawe said: Hata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani. Click to expand... Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupi
Mbao za Mawe said: Hata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani. Click to expand... Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupi
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Oct 6, 2018 #93,530 ARV said: FT: Man U 2 vs Newcastle 2 Click to expand... Mbona tena hivi? Au ndo furaha???
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 55,026 Oct 6, 2018 #93,531 Shida kweli yule kiumbe, ukiwa tu na ngozi nyeusi hata uzaliwe Ulaya bado utakuwa mgonjwa wa akili. Bhagavan said: Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupi Click to expand...
Shida kweli yule kiumbe, ukiwa tu na ngozi nyeusi hata uzaliwe Ulaya bado utakuwa mgonjwa wa akili. Bhagavan said: Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupi Click to expand...
everlenk JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 11,628 Reaction score 15,032 Oct 6, 2018 #93,532 eden kimario said: Hongereni kwa ushindi dadeki Click to expand... Asante mtani japo kiroho kinakuuma hahahhaha!!
eden kimario said: Hongereni kwa ushindi dadeki Click to expand... Asante mtani japo kiroho kinakuuma hahahhaha!!
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Oct 6, 2018 #93,533 Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out
Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Oct 6, 2018 #93,534 Leo martial alikuwa na mchezo mzur sana
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,198 Reaction score 28,080 Oct 6, 2018 #93,536 radika said: Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out Click to expand... Mkuu hili limenitafakarisha,naona kibao kimemgeukia Woodward,mabango tele yanamchachafya.
radika said: Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out Click to expand... Mkuu hili limenitafakarisha,naona kibao kimemgeukia Woodward,mabango tele yanamchachafya.
GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 7,068 Reaction score 16,381 Oct 6, 2018 #93,537 radika said: Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out Click to expand... Na uwanjani walikuwa wanamsapot mou
radika said: Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out Click to expand... Na uwanjani walikuwa wanamsapot mou
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,530 Reaction score 81,257 Oct 6, 2018 #93,538 Vyenye soka lilivyo la ajabu na mashabiki tulivyo. Lazima utasikia wale wale waliokua wanatukana Mou msenge mou fala mou aondoke saizi kwakuwa kashinda mtasema abaki
Vyenye soka lilivyo la ajabu na mashabiki tulivyo. Lazima utasikia wale wale waliokua wanatukana Mou msenge mou fala mou aondoke saizi kwakuwa kashinda mtasema abaki
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 21,786 Reaction score 35,747 Oct 6, 2018 #93,539 Mbao za Mawe said: Hata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani. Click to expand... Mkuu mbona una hasira sana
Mbao za Mawe said: Hata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani. Click to expand... Mkuu mbona una hasira sana
radika JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 20,450 Reaction score 32,290 Oct 6, 2018 #93,540 lukesam said: Mkuu hili limenitafakarisha,naona kibao kimemgeukia Woodward,mabango tele yanamchachafya. Click to expand... Mkuu mm kila siku nasema kocha hana hatia ila sisi tunalazimisha aje kwenye utamaduni kitu ambacho kigum yule ana utamadun wake apewe watu tu
lukesam said: Mkuu hili limenitafakarisha,naona kibao kimemgeukia Woodward,mabango tele yanamchachafya. Click to expand... Mkuu mm kila siku nasema kocha hana hatia ila sisi tunalazimisha aje kwenye utamaduni kitu ambacho kigum yule ana utamadun wake apewe watu tu