Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sababu kwa nini nashindwa kumvumilia Mourinho UNITED!

Anapoteza muda wakati hana muda mrefu UNITED, the guy always talks.

Kwa wale wanasema tumpe muda, muda uko wapi wa kumpa.?

Mfano wa kocha anaye stahili muda ni Zidane, tumpe muda wa kuijenga UNITED hata kama ni kwa misimu miwili alafu tupate matokeo mazuri.
Kumpa muda Morinho ni kutotambua thamani ya muda! Total waste of time!!
 
Mourinho kuwa tofauti na wachezaji yeye sio wa kwanza,vijana wamepanga kumdondosha, anafaidika na breach of contract ni mourinho
1538509737973.jpg
 
Kwa mechi ya jana nilivyoona mourinho kuamka hawezi naona msimu wake watatu una mhukumu hamna namna ile chelsea ya 2015/2016 inatukumba

Baada Ya Kuajiriwa Mourinho wadau Waengi Walisema Kuwa Mourinho Mwisho Misimu Miwili Kutulia Kwenye Timu! Ukianza wa 3 basi anawarudisha Mulikotoka.

Sikuamini hilo! ila Sasa nimeamini.
 
Baada Ya Kuajiriwa Mourinho wadau Waengi Walisema Kuwa Mourinho Mwisho Misimu Miwili Kutulia Kwenye Timu! Ukianza wa 3 basi anawarudisha Mulikotoka.

Sikuamini hilo! ila Sasa nimeamini.
Naliona hilo kushindwa kuifunga valencia dhaifu nyumban ni tatizo hii ina maana hadi wachezaj kisaikolojia hawapo sawa inatakiwa mtu wa kubust winning mentallity zao
 
Huwa namuona kocha wa buyern aliestaafu ni mjengaji wa timu sijui kwa nini bodi haimfikilii kumshawish zidane sizani mkuu mana nje ya champions lig hanna cha maana ni mzur ktk mech za mtoano mbio ndefu chenga
Watu hawakushangaa suddenly Evra kuwa direct involved na timu hadi kusafiri na team tulipocheza na Westham.....

Evra anaongea French na English hahahha maybe alikuja kuwasilisha mahitaji ya Zizzou
 
Antonio Valencia apologises for liking Instagram post calling for Jose Mourinho to be sacked


Hapo inatosha kabisa kuonesha wachezaji hawamtaki kocha
 
Antonio Valencia apologises for liking Instagram post calling for Jose Mourinho to be sacked


Hapo inatosha kabisa kuonesha wachezaji hawamtaki kocha

Mtoeni Diego Simeone pale Atletico Madrid Nina Uhakika Hamtohuzunika.

Watu Wanamdharau Simeone Kwasababu Habebi Laliga!!! Lakini Hawaangalii Kuwa Timu anazopambana nazo zilikuwa ni Barcelona na Real zilizokamilika kila uchochoro atawezaji kubeba Laliga mbele ya Wakina Messi, Suarez, Ronaldo, Bale, Iniesta, Coutinho, Modric, Kroos n.k..

Lakini Kwa Man U naamini Anao uwezo wa kuleta Mafanikio Kwani Timu za EPL za Top 6 hazijapitana sana Kiuwezo.
 
Mou ananugonjwa wa misimu mitatu. Wa kwanza wa pili wa tatu chali. Angalia madrid, chelsea baada ya misimu mitatu analiamsha dude.
Watu hawakushangaa suddenly Evra kuwa direct involved na timu hadi kusafiri na team tulipocheza na Westham.....

Evra anaongea French na English hahahha maybe alikuja kuwasilisha mahitaji ya Zizzou
 
Mtoeni Diego Simeone pale Atletico Madrid Nina Uhakika Hamtohuzunika.

Watu Wanamdharau Simeone Kwasababu Habebi Laliga!!! Lakini Hawaangalii Kuwa Timu anazopambana nazo zilikuwa ni Barcelona na Real zilizokamilika kila uchochoro atawezaji kubeba Laliga mbele ya Wakina Messi, Suarez, Ronaldo, Bale, Iniesta, Coutinho, Modric, Kroos n.k..

Lakini Kwa Man U naamini Anao uwezo wa kuleta Mafanikio Kwani Timu za EPL za Top 6 hazijapitana sana Kiuwezo.
Ni yule yule tu kama mourinho kuzuia sana kocha makini ni yule babu aliestaafu wa buyern munich hatar sana kwa soka la kushambulia
 
Back
Top Bottom