Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya wale watetezi wa Jose mkuje hapa na utetezi wenye mashiko.
Wakija waulizeni Wagonga nyundo wana wachezaji wa viwango vya juu?maana walidai MUFC ina wachezaji wa kawaida!

Zama za mou zimepita,asipoondoka wachezaji inabidi waondoke maana anawaharibu. Najiuliza Herrera angekuwa Liverpool angekuwa fundi kiasi gani hadi sasa.
 
Tafsiri ya mafinikio ni nini?

Hii kauli uliitoa kabla au baada ya msimu wa kwanza wa Jose

Au

Umeitoa msimu Mwaka jana na huu
Labda tuliyapata akiwq van gal na moyes hii timu ya wauza jezi na watangaza faida hawana shida na mpira wako kibiashara
 
Vijana wanaonesha hawamtaki kocha kabisa... Ed Wood aingie sokoni. Kuna uwezekano kwamba pogba anawafuasi wengi sana ndani
Ina maana akija kukorofishana na kocha mwingine hali itakuwa kama hivi? Mi naona wasepe wote tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…