Wakija waulizeni Wagonga nyundo wana wachezaji wa viwango vya juu?maana walidai MUFC ina wachezaji wa kawaida!
Zama za mou zimepita,asipoondoka wachezaji inabidi waondoke maana anawaharibu. Najiuliza Herrera angekuwa Liverpool angekuwa fundi kiasi gani hadi sasa.