Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona Luke Shaw masimu wake ila majeraha yampitie mbali,

Dalot swala la muda Tu, yuko vizuri
Mkuu nilikuwa kila siku nataman beki mbili na tatu tupate asilia sasa naona ndoto inatimia pamoja na valencia na young kiwa vizur ila mm nilikuwa sipend
 
Halafu uzuri wa hawa mabeki umri bado mdogo. Valencia na young wajiandae
Kabisa hata cross zao ni nzuri sana tumepata faida sasa tuanze kuumiza kichwa 4 na 5 na pale anapocheza fellain maana kuna muda fellain anacheza kama namba 5 ningependelea pawe na mtu mwenye kasi tofaut na fellain japo kwa sasa anatusaidia sana
 
Kabisa hata cross zao ni nzuri sana tumepata faida sasa tuanze kuumiza kichwa 4 na 5 na pale anapocheza fellain maana kuna muda fellain anacheza kama namba 5
Ngoja tuone kama usajili huo utafanyika,

Najiuliza kwanini Bailly anamuweka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…