Yaa ule upande naona kuna njia kidogo maana ndio wameona sehemu nyepesi kuliko huku kwa Smalling,no Ferdinand hajachoka na wala wasimtoe yupo vizuri sana sema evra naona amelega kidogo
Si kwamba kashuka kiwango ila tatizo amechoka kwa kucheza mechi nyingi sana so anahitaji kupumzishwa mechi kadhaa, kwa sasa inabidi Ezekiel Fryers acheze kwa muda
Si kwamba kashuka kiwango ila tatizo amechoka kwa kucheza mechi nyingi sana so anahitaji kupumzishwa mechi kadhaa, kwa sasa inabidi Ezekiel Fryers acheze kwa muda
Dahh.......ilibidi niamke usiku kuangalia gemu la Barca Vs Santos...........nikarudi kulala tena......duuhh NO DOUBT!! BARCA....is the Best in the WORLD..............
Dahh.......ilibidi niamke usiku kuangalia gemu la Barca Vs Santos...........nikarudi kulala tena......duuhh NO DOUBT!! BARCA....is the Best in the WORLD..............
I'm the money u fan not spectotor....Inaniuma kuona mpaka leo hatuna kiungo cha kutumainiwa...Where r u shneijder,leo kama kawa pointi 3,then tuone kama city watapumua?
I'm the man u fan not spectotor....Inaniuma kuona mpaka leo hatuna kiungo cha kutumainiwa...Where r u shneijder,leo kama kawa pointi 3,then tuone kama city watapumua?