Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna kipindi man u ilikuwa mbovu afadhali ya sasa. De gea aliwa save sana sasa sijui saiv kawaje! Tangu Madirid wampotezee kiwango kimeshuka sana.
Hahaha He Karius

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani De Gea anatumia diesel mkuu? Na yeye ni binadamu kama hao akina Bolingoli, inafikia hatua anachoka sasa kila siku anaokoa jahazi yeye tu, mwisho wa siku anaona huu ni uduanzi.

Eti beki ni Smalling na Jones, striker ni mtu mzito Bolingoli, kweli utapata matokeo hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team yenyewe tu haichezi kwenda mbele unategemea mabeki watakuwa katika hali gani lukaku ndio hivyo tena bora mkanunue samatta azibe pengo

E&K
Angalia takwimu mkuu naona umekuja na takwimu za mech iliyopita leo tumeshambulia na kutengeneza nafasi mabek wakiyajua majukum yao vizur walau ingetia moyo ukija lukaku sijui kawaje daaa ukianza kufungwa lazima mipango ivurugike sasa lukaku nae hakuwa makini timu inahitaj uwekezaj wa maana tuache utani kwa mfano huyo zizou isco na bale walikuwa wanakaa bench ambapo kwa united wanapata namba hata kama wagonjwa

Kovasic anatolewa kwa mkopo morata anauzwa sijui unafikir madrid ya zizou ilikuwa ya watu gani
 
Angalia takwimu mkuu naona umekuja na takwimu za mech iliyopita leo tumeshambulia na kutengeneza nafasi mabek wakiyajua majukum yao vizur walau ingetia moyo ukija lukaku sijui kawaje daaa ukianza kufungwa lazima mipango ivurugike sasa lukaku nae hakuwa makini timu inahitaj uwekezaj wa maana tuache utani kwa mfano huyo zizou isco na bale walikuwa wanakaa bench ambapo kwa united wanapata namba hata kama wagonjwa

Kovasic anatolewa kwa mkopo morata anauzwa sijui unafikor madrid ya zizou ilijuwa ya watu gani
Pole sana mkuu
Ndio Mpira huo na una matokeo matatu

E&K
 
Huyu Mpuuzi tangu achukue timu nilijua ataleta usenge wa mama yake Mreno.


Mnamtukana bure mzee wa watu mkuu, umeona lakini jinsi huyo Lukaku alivyoharibu nafasi za wazi za magoli kama tano au sita kabisa? Vipi Fred alivyokuwa anabutua mipira kwenye nafasi za kufunga? Kwa uwezo wa Salah zile nafasi alizobutua Fred pale Salah ana magoli ya kutosha. Overall timu yote imecheza ovyo, hata kama rahisi mmfanyie na kumsemea ya haki Mourinho
 
Kocha alitaka CB hakupewa tusimlaumu sana leo hata kama tumefungwa ila vijana walionesha juhudi za kusaka bao.... Tumecheza vizuri sanaa
GGMU

Alitaka Beki Hakupewa????????

Hivi nikuulize Wachezaji hawa: ↓
√ Diogo Dalot (£19m)
√ Victor Lindelof (£31.5m)
√ Eric Bailly (£34m)
Mourinho aliwasajili Kama Mastriker?
Sasa hapo Kama £84.5m Kapewa Kwa Ajili ya Mabeki na Kashindwa Kuwatumia! Sasa Huo ujasiri Wa Kusema Kataka Beki Hakupewa unautoa wapi?
 
Kwani De Gea anatumia diesel mkuu? Na yeye ni binadamu kama hao akina Bolingoli, inafikia hatua anachoka sasa kila siku anaokoa jahazi yeye tu, mwisho wa siku anaona huu ni uduanzi.

Eti beki ni Smalling na Jones, striker ni mtu mzito Bolingoli, kweli utapata matokeo hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
eti anaona ni uduanzi hahaha ...sema kuna mda unafika unaona ni uduanzi tu..

Kama leo, kaona ni uduanzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi man u ilikuwa mbovu afadhali ya sasa. De gea aliwa save sana sasa sijui saiv kawaje! Tangu Madirid wampotezee kiwango kimeshuka sana.
Hahaha He Karius

Sent using Jamii Forums mobile app

Hana lolote! Hile Kujifanya Adaka Sana ilikuwa Ni Mipago Yake tu Ya Kujiuza Kwa Real..
Real walipompotezea tu Kaamua Kurudia Kiwango Chake Halisi.
 
Alitaka Beki Hakupewa????????

Hivi nikuulize Wachezaji hawa: ↓
√ Diogo Dalot (£19m)
√ Victor Lindelof (£31.5m)
√ Eric Bailly (£34m)
Mourinho aliwasajili Kama Mastriker?
Sasa hapo Kama £84.5m Kapewa Kwa Ajili ya Mabeki na Kashindwa Kuwatumia! Sasa Huo ujasiri Wa Kusema Kataka Beki Hakupewa unautoa wapi?
Unajua kuna watu huwa hamjui kitu mnaorodhesha watu ambao kocha anaanza kuomba mpango wa pili baada ya chaguo la kwanza kufeli

Hivi unatambua?
 
Hebu angalia hilo gape la uefa na ilichukua muda gani mpaka kuipata? Kama unaifahamu man u ya 2008 ni work on progress karibia miaka 6 mpaka fergie ilibidi atafute kocha msaidizi ambaye alikabidhiwa mikoba kama kocha mkuu, timu ilikuwa inafanya vibaya mno tulikuwa mpaka tunatolewa makundi uefa (refer benfica) hata ligi mourinho alitusumbua kipindi hiki. Kocha msaidizi akaleta vijana wake wanaoongea kireno kina kleberson, Anderson, Ronaldo, Nani na wengineo mpaka tunakuja kuipata man u ya 2018 tukatawala UEFA miaka 5 fainali 3 na nusu mbili kama sijakosea. fergie huyu huyu kwanini alishindwa kwa kipindi hiki? Inaonesha ukocha sio playstation kwamba unasajili na kupanga tu, ukocha una mambo mengi.

-moyes katutoa uefa katupeleka nafasi ya7 sijui 6
-lvg katurudisha uefa kisha akatutoa
-kaja mou katurudisha uefa, katupa makombe 3, tumefika knockout stage toka fergie astaafu, tumeshika nafasi ya pili ligi etc mafanikio yote hayo ndani ya miaka 2 unaanza vipi kusema kocha hafai? Unataka aje kocha mwengine kwa sasa timu irudi tena nafasi ya 7? Ndio furaha yenu hii kubadili makocha?

Hao liverpool walikuwa kama madrid na barca leo hii ni timu ya kawaida sana sababu ya kubadili makocha kila mwaka. Ngoja fukuza fukuza itokee man u na baada ya miaka 10 tuwe kama Everton ndio roho zenu zitatulia.
Umenena Mkuu, #thumbs up #GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana lolote! Hile Kujifanya Adaka Sana ilikuwa Ni Mipago Yako tu Ya Kujiuza Kwa Real..
Real walipompotezea tu Kaamua Kurudia Kiwango Chake Halisi.
Uwe na akiba ya maneno nawaza ni kwa namna gani unashusha hasira zilizokukaa kifuani since 1992 sasa tuwape ushaur baadhi ya mashabik humu wajue ni namna gani mmevumilia na kupitia machungu nyie ni walimu wazur sana muwafunze watu humu.
 
Angalia takwimu mkuu naona umekuja na takwimu za mech iliyopita leo tumeshambulia na kutengeneza nafasi mabek wakiyajua majukum yao vizur walau ingetia moyo ukija lukaku sijui kawaje daaa ukianza kufungwa lazima mipango ivurugike sasa lukaku nae hakuwa makini timu inahitaj uwekezaj wa maana tuache utani kwa mfano huyo zizou isco na bale walikuwa wanakaa bench ambapo kwa united wanapata namba hata kama wagonjwa

Kovasic anatolewa kwa mkopo morata anauzwa sijui unafikir madrid ya zizou ilikuwa ya watu gani
Wewe jamaa hoja zako zimekaa kitapeli tapeli , haki ya mungu wewe jamaa kama cheti chako sio Division 4 ni 0 kabisa.


Yaani kwa matrix ya kawaida kabisa unashindwa kung'amua tatizo la united ni kocha !!!!


Umeng'ang'ania kocha hapewi hela asajili ila Leo kakutana na team ambayo haijasajili hata mchezaji mmoja katika dirisha hili na kutupa kipigo heavy 3-0. Huoni utofauti tu??



Haki Ya mungu hii nchi ina watu ibabidi wawe Migambo tu huku kwenye mpira tubaki watu wenye kutumia vichwa vyetu kutafakari na sio kunyolea viduku kama mashabiki wa Muhuni Mou.







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom