Tumeianza ligi kama tulivyoimaliza.
Sikutegemea na msimu huu, kumtegemea LUKAKU, SMALLING, LINGARD, LINDELOF NA JONES!
Kuna hili Beki lina Namba 2 mgongoni Sijui linatokea wapiii hadi kufika Man u
Hizi nafasi Lukaku ndio alisababisha tupigwe mechi iliyopita.
Unakosaje goli kama hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha huyo bouncer from Equador?
Baada ya kumaliza msimu uliopita bila kuwa na first 11 inayoeleweka unafikiri kuna kocha hapo?
Du kweli tukifungwa unakuwaga kichaa aisee ugonjwa wako umepanda sasaMiracle!
Manure Played 3 games, 3 points, -3 goals difference
Umemuona wakati anatoka uwanjani?
Hivi Mou hatojiuzulu kweli?au watamshitaki kwa kuvunja mkataba?
Mkuu umeona beki walichofanya lakini? Mkufunzi na mfanyabiashara walikuwa wanavutanaMkuu Radika kila siku unaambiwa timu pale hakuna unajitoa ufahamu kwa makusudi Manchester hii ni General la wahuni kama sio lazima wavuta bangi
Umepanic tulia dawa ikuingie vizuriDu kweli tukifungwa unakuwaga kichaa aisee wako umepanda sasa