Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester hii haina tofauti yoyote na Kikundi cha wapika gongo
 
Mou nilionelea angefanya kutengeneza midfield duo-chemistry ya Ricardo-Fred halafu kwenye wide forwards angetengeneza Duo-Chemistries mbili ya kwanza Lukaku-sanchez na ya pili Rashford-Martial, halafu sasa huku kwa atacking Mid angesimama Pogba huku akiwekewa backup ya Herrera na Huku kwa Right wide forward angesimama Mata ambako huku nako akiwa na Backup ya Lingard at the sametime CB Duo ilitakiwa kuwa Rojo-Bailly full stop.
 
Kweliii Jamniii United

Bekiii Hakunaaa..

Siku Tukikutana Na Arsenal tunalalia Kwa Kucheza Uku.
 
Mou nilionelea angefanya kutengeneza midfield duo-chemistry ya Ricardo-Fred halafu kwenye wide forwards angetengeneza Duo-Chemistries mbili ya kwanza Lukaku-sanchez na ya pili Rashford-Martial, halafu sasa huku kwa atacking Mid angesimama Pogba huku akiwekewa backup ya Herrera na Huku kwa Right wide forward angesimama Mata ambako huku nako akiwa na Backup ya Lingard at the sametime CB Duo ilitakiwa kuwa Rojo-Bailly full stop.

Rojo angeanza ingekuwa 5-0 saa hizi
 
hii beki ya kati imeoza ! na mou kabugi kumtoa herera na matic akimuacha lingard ndani wakt ilibd sanchez aanze

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mou nilionelea angefanya kutengeneza midfield duo-chemistry ya Ricardo-Fred halafu kwenye wide forwards angetengeneza Duo-Chemistries mbili ya kwanza Lukaku-sanchez na ya pili Rashford-Martial, halafu sasa huku kwa atacking Mid angesimama Pogba huku akiwekewa backup ya Herrera na Huku kwa Right wide forward angesimama Mata ambako huku nako akiwa na Backup ya Lingard at the sametime CB Duo ilitakiwa kuwa Rojo-Bailly full stop.
Baada ya kumaliza msimu uliopita bila kuwa na first 11 inayoeleweka unafikiri kuna kocha hapo?
 
Back
Top Bottom