Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona pep msimu wa pili tu amekuwa mkali na timu yake inafanya vizuri??

Mpira wa kisasa wa saivi sio kama wa zamani,tengeneza timu itakayokuwa na chemistry kila eneo..mourinho kafeli hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona pep msimu wa pili tu amekuwa mkali na timu yake inafanya vizuri??

Mpira wa kisasa wa saivi sio kama wa zamani,tengeneza timu itakayokuwa na chemistry kila eneo..mourinho kafeli hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia city pep hakupata shida ya mfumo makocha wote waliotoka walikuwa na mfumo wa kushambulia sisi tunabadili falsafa hapo bodi ndipo ilipochemka
 
Ukiangalia city pep hakupata shida ya mfumo makocha wote waliotoka walokuwa na mfumo wa kushambulia sisi tunabadilo falsafa happ bodi ndipo ilipochemka

The body knows exactly what they are doing. Tatizo ni the game is evolving so fast na kocha wako huyo bado Ana style za toka anafundisha akina Drogba
 
The body knows exactly what they are doing. Tatizo ni the game is evolving so fast na kocha wako huyo bado Ana style za toka anafundisha akina Drogba
Amepewa wakina drogba wake aliokuwa akiwataka Ili tumseme? Kila kocha huwa na falsaf yake waliompa kazi wanamjua fika ndo mana mashabik wameamua kupambana nao sio kocha wao ndo wamfute kazi.
 
Amepewa wakina drogba wake aliokuwa akiwataka Ili tumseme? Kila kocha huwa na falsaf yake waliompa kazi wanamjua fika ndo mana mashabik wameamua kupambana nao sio kocha wao ndo wamfute kazi.

Msipoangalia miaka itasogea kidogo kidogo na mtajikuta mara paap 27 years patupu!
Liverpool walianza utani huo huo wa kuleta makocha wa ajabu ajabu hadi leo wanauota ubingwa wa EPL.
Walikuwa in denial hivyo hivyo.
 
Umemaliza mkuu...tunagape la wachezaji ila hata hawa tulionao tu wanaweza kucheza vizuri..upo OT then shoot on target nne tu mechi nzima..huu si ujinga

Ni time ya Mourinho kuondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipoangalia miaka itasogea kidogo kidogo na mtajikuta mara paap 27 years patupu!
Liverpool walianza utani huo huo wa kuleta makocha wa ajabu ajabu hadi leo wanauota ubingwa wa EPL.
Walikuwa in denial hivyo hivyo.
Kwani kufukuza kocha ni kuikimbia hali ya liverpool?
 
Tatizo lako nini hasa? Usaidiwe nini ikiwa hata klopp hana uhakika wa kubeba kitu sawa na kipofu kumuongoza njia mwenzie
Tatizo lako haunaga point za Akili za kuitetea Manchester United pasipo kuitaja Liverpool na Arsenal hahahaha Itetee timu yako kwa hoja za msingi
 
Tatizo lako haunaga point za Akili za kuitetea Manchester United pasipo kuitaja Liverpool na Arsenal hahahaha Itetee timu yako kwa hoja za msingi
Umeunia vibaya sana alietamba hapo ni mshabik wa arsenal? Ukinyoosha kidole hakikosha upo timamu walau chelsea na city wanachakuongea sasa nani hapo ana point za akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…