Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Katika Mchezo wao Wa Leo Man City wamepiga 14 Shots On Target

Man United Katika Mchezo wao Wa Leo Wamepiga Only 3 Shots On Target
 

Lakini Nanyinyi Mumechangia Haya Kwa Kuwaaminisha Kuwa Sanchez Ni Bonge la Mchezaji wakaingia Kichwa kichwa Kumpa £500K Kwa Wiki.
 
Wewe gia yako ni Ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ku like tu haitoshi kwa hii point ..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijengi Picha sijui Daud1990 na Darmian Jinsi Walivyo na Hasira na Mourinho Watakuja kivipi baada ya Huu Mchezo!
Mkuu nipo nimekaribia.

Misimamo Yangu ni ile ile Aheri king Kibadeni "Mputa" kuliko Jose Mourinho.


Sina jipya la kuongea dhidi ya Mou kwani Nina mengi nimeandika dhidi yake. Maandishi Yangu yatatimilika mpaka huyu MTU akifukuzwa, kinyume na hapo ni vipigo tu.



GGMU.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…