mechi ya leo ya aseno imenichekesha sana daaaah
we miss you wenger...huyu jamaa akitaka atoboe aondoe kizazi chote cha wenga maana wachezaji wengi leo walikua wanacheza wakijua wenga bado yupo kwenye benchi
Mkuu unajichosha tu maana Looserfool hawawezi kukuelewa
Jaribu tu kumukumbusha kaka Malafyale kuwa misimu miwili iliyopita wameambulia point tatu tu kutoka kwetu
Nani kamtaja Milner wala Wilj?
Fred anaweza muweka nje Keita?
Mwendo wa konokono Matic anamuweka nje Fabihno?
Kwa nn unawataja wachezaji ambao mm sijawataja?
Nani kamtaja Milner wala Wilj?
Fred anaweza muweka nje Keita?
Mwendo wa konokono Matic anamuweka nje Fabihno?
Kwa nn unawataja wachezaji ambao mm sijawataja?
Imeripotiwa kuwa Kocha wa zamani wa klabu y Real Madrid Zinedine Zidane yupo katika hatua za mwisho kufanya mazungumzo na klabu ya Manchester United kuchukua nafasi ya Jose Mourinho ambaye ndiye kocha mkuu wa klabu hiyo kwa sasa.
Imeripotiwa kuwa Kocha wa zamani wa klabu y Real Madrid Zinedine Zidane yupo katika hatua za mwisho kufanya mazungumzo na klabu ya Manchester United kuchukua nafasi ya Jose Mourinho ambaye ndiye kocha mkuu wa klabu hiyo kwa sasa.
Nani kamtaja Milner wala Wilj?
Fred anaweza muweka nje Keita?
Mwendo wa konokono Matic anamuweka nje Fabihno?
Kwa nn unawataja wachezaji ambao mm sijawataja?