Uyu naye sijui wiki ngap wodin..manake sie ka tuna laana..kibongobongo tungehis mkono wa sheikh flan wa bmoyo.
Ukifungwa leo mechi zako za europe utakuwa unaangalia alhamisi peke yako.
heheheeh dah! hili jibu muafaka kabisa
Shen* zako...hili jibu si la kumpa mkweo ila mwanamke wako wa nje ya ndo...araaaaa...
Msalimu MBU...mwambie hakubaliki kabisa hapa na kwangu..
....hahahahaha,.....aisee alhamisi tushawazoea Spurs kule,
Hawa Basel inabidi wapate goli la pili manake wanatoa nafasi nying sana kwa united.
Mkuu mbu nisaidie kubeba misanduku ya mabati hii, watu wanaelekea Europa