TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,278
- 27,948
Nasikia uwanja wa Old Trafford ulijaa 'CRYSTALS' nyingi sana za mawe ya ikulu, hivyo Fergie alilazimika helcopta yake kuitua kwa Mashabiki wa Man U. Maana alijua hizi crystals zitaleta matata.
Kuangalia game ya Man Utd shida sana. Hamna enjoyment yoyote. Litim lipo kwenye presha muda wote!
Kuangalia game ya Man Utd shida sana. Hamna enjoyment yoyote. Litim lipo kwenye presha muda wote!
Tune to 143 kwa DSTV angalia Taifa Stars na Zim Dollar.
Manda habari za J2 .... ... ... namwangalia Nadal hapa anafanya vitu vyake kwenye Davis cup anakwaana na del Potro ... ..
umeona enheee...
Poleni wakuu naona mnakutana na Mancs tena kwenye FA cup ... .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Manda habari za J2 .... ... ... namwangalia Nadal hapa anafanya vitu vyake kwenye Davis cup anakwaana na del Potro ... ..