fabihno hata team ya taifa hakufikiliwa kuitwa umlinganishe na Fred aliyekuwepo benchi la Brazil acha utoto kwenye football, hauwezi linganisha Fred,matic ,pogba,kisha Henderson, fabihno, keita kuwa mkweli. Kwa Salah ni tofauti Hakuna ubishi anaujua England Mzima upande wa kulia ni yeye kushoto hazard