Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao wachezaji Wa katikati Wa hizo timu mbili ulowataja ni kweli walipaswa wasilingane ila kwa sababu hao Wa man u wapo chini ya mou hatutawalinganisha na viungo hata Wa west ham
 
Reactions: Pep
Mourinho: 'You are capable of making people that finish second look like they were relegated, and people who win nothing, finish below us, and you make them look like serial winners.' #mufc #lfc #thfc
Hatutaki vi maneno vyake,afungue vipaji vya wachezaji alonao
 
Tunachotaka sisi Mou afungue vipaji vya wachezaji alionao alivyovifunga. Wachezaji wengine wanagoma kusajiliwa na Mou sababu wanahofia vipaji vyao vitaenda kufungwa na kutakiwa wawe LB badala ya kuwa LW. Vimaneno vyake vya mipasho alivyozoeleka havina tija
 
Fabinho yupi huyo?? huyu aliyeachwa timu ya taifa akaenda Fred au ni yupi??


Jitahidi kidogo usibase kwenye ushabiki Bradha, najua unafahamu jinsi huyo huyo Coach alivyomng'ang'ania Paulinho kwenye position ya Attacking Midfielder ilihali wapo Attacking Midfielders wazuri kushinda huyo Paulinho
 
Jirani zetu hii kitu imekaje?

" Bodi ya Manchester United imemwambia kocha Jose Mourinho kuacha kulalamika kuhusu fedha za usajili badala yake anatakiwa kufanya kazi ya kufundisha".
 
Jirani zetu hii kitu imekaje?

" Bodi ya Manchester United imemwambia kocha Jose Mourinho kuacha kulalamika kuhusu fedha za usajili badala yake anatakiwa kufanya kazi ya kufundisha".
imekaa vyema. dirisha dogo tutavuta kifaa kimoja
 
Jitahidi kidogo usibase kwenye ushabiki Bradha, najua unafahamu jinsi huyo huyo Coach alivyomng'ang'ania Paulinho kwenye position ya Attacking Midfielder ilihali wapo Attacking Midfielders wazuri kushinda huyo Paulinho
OK time will tell
 
malumbano tuweke pembeni tuisapoti timu yetu, leo ushindi lazima.
#GGMU
 
Leo tutaona wale wanaomsapport Mou na wasiomsapoti wapi wataanza kuwa disappointed
 
Ngonjera zote ziwekwe pembeni. Kila mtu katoa dukuduku lake na maono yake, now mpango mzima ni kwenye pitch. Ni zamu ya wachezaji ku deliver.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…