Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi si Mshabiki Wa Man U Lakini Mpaka Mchezaji Wa Mwisho Kabisa aliyetoka Academy ambaye Ni Giggs anastaafu Kucheza Soka Basi SAF Katika Timu Hakuwa na Mchezaji Aliyepandisha Kutoka Academy akawa anacheza Kikosi Cha Kwanza Kwa Uhakika
Na hilo ndio nalo lijua Mimi. Maana products za mwisho ni kina Gibson,cleverly,Welbeck na wengine. Kwa hiyo hii ya kusema man utd ina falsafa ya kuwapa nafasi makinda kutoka kwenye academy yetu ni uongo au kukariri tu.
 
Makinda si lazima watoke academy yetu,suala ni umri wa watu wanaoletwa pale na wastani wa umri wa kikosi cha kwanza ni factor kubwa pia katika kushinda taji au mechi.
 
Makinda si lazima watoke academy yetu,suala ni umri wa watu wanaoletwa pale na wastani wa umri wa kikosi cha kwanza ni factor kubwa pia katika kushinda taji au mechi.
Unacho kisema ni sawa japo hata hilo ukiangalia utakuja kuona makinda walio sajiliwa na Fergie na wakapata wakiwa wadogo nafasi kwa muda wote alio kaa pale hawazidi wa 5. Japo Mimi namkumbuka Rooney na Ronaldo kidogo na Anderson japo hakufikia level za juu. Ila sajili nyingi zilikuwa ni watu ambao wako matured
 
Mourinho:

“Everyone has invested and then you’ve got Liverpool buying anything and everybody.”
 
ukweli mtupu huu na ed ndio mitaa yake iyo ya marketing ya kujidai
 
mjadala umeishia hapa....Mou is a big coach
 
Jose anapenda wachezaji wenye umri mkubwa,sijawahi kusikia kamyanyua kinda kama LVG au Sir Alex.
we ndio hujielewi kabisaaaa halafu huu ni aina ya ushabiki wa simba na yanga naomba tuache na united yetu..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…