Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lazima achukie tu miezi mitano nyuma huko kaomba players watano hadi sasa kapata wawili tu hata mimj ningetema mbovu anaepata shida uwanjani ni kocha sio ed woordward mpatie watu kama atasema hao sio wangu tuone


Kutaka au Tusitake Kama Visima vya Mafuta Vya Muarabu Havijakauka Basi Man City na Msimu huu atatuburuza Vibaya Sana.
Kwa Kutegemea Katika Timu 20 ni Liverpool na Man United pekee ndiyo tumvizie tumfunge!!!!!! Waliobakia 17 awapige wrote!!!

Yani nashindwa Kuamini Mwarabu anatoa £60m kumnunua Mahrez ambaye ni Mchezaji Wa Benchi Kwa Man City!!!!
Anatoa zaidi ya £45m Kwa Kumnunua Mchezaji Wa Benchi Bernardo Silva!!!

Yani ni jambo la kukatisha tamaa kupambana na Timu inayotoa £60m kununua Mchezaji Wa Hakiba Wa Kuongeza Depth.

Kwahiyo tusiumize Kichwa Sana Huu nao pia ni Msimu Wa Man City.
Kwa Usajili Wa Kina Bakayoko, Xhakiri, Fred na Wauza mitumba Wa Arsenal nadhani tutaendelea Kuwa Wasindikizaji manake ninauhakika na January Mwarabu pia atasajili wakati sisi tukikazania Kuimarisha Watoto Wa Academy.
 
Mourinho kila anapotoka anatoka na Lawama. Ameshazoeleka.



Kwa mbinu za Mourinho hata aje Messi na Ronaldo ni chenga tupu.


Tatizo ni mourinho Asap. Hakuna ujinga. Kama team walau ingekuwa walau inacheza mpira wa kulidhisha tungekubali lawama zake. Team inacheza hovyooooo. Huoni tactical display za kocha. Huoni ufundi wowote.


Ufundi wa kocha haujidhihirishi kwa kuwa na wachezaji nyota. Team kama tottenham haina nyota ila ufundi wa mwalimu unauona timu inapocheza kwa hiyo kocha kama huyu akiongezewa super nyota players team itatisha.


Na pochetino hakuanzia hapo mbinu zako kuonekana bora ni kuanzia alipokuwa Southampton.


Sasa mourinho ni mwendo wa kupack bus, timu haichezi na mfumo wake hautengenezi nafasi za kufunga. Hapa hatuzungumzii wachezaji, hapa ni mfumo wa kocha. Hata akicha ronaldo timu mfumo wake ni kupack basi ronaldo hawezi funga magoli. Tatizo ni mourinho ni kichaa tu ndio anaweza asilione hili.





Manchester United haiwezi kurudi kwenye zama zake kwa kusajili mastaa chungu nzima wakati kiufundi iko vibaya. Timu itarudi kwenye zama zake kwa kuwa na kocha mwenye mbinu za kutopack bus na kutengeneza nafasi nyingi.




Watu wanasahau ni Mourinho huyu huyu ndio alikuwa madrid ya mastaa chungu nzima kuanzia Modric, Ronaldo,Benzema, Casilas na wengine kibao lakini mwisho wa siku hakufua dafu mbele ya Pep Guardiola. Sana sana aliishia kumuuza Goli kipa Bora miaka hiyo Ikar Casilas.



Huyu huyu mourinho alikuwa chelsea timu ilimshinda akaishia kutupia lawama wachezahi watatu aliowaita "Three Big Rats"



MaKocha wa kuivusha hii team ni either;

1. Mauricio Pochetino
2. Diego Simione
3. Ryan Giggs
4. Sulivan




Mourinho Football Tactics are outdated and can't work onto modern Competitive footbal. Under Mou We've to expect Nothing.
 
Nakuunga mkono mkuu ukiangalia usajili wa timu zetu wa kawaida sana barcelona wanawaza kumtoa dembele na yule bek wa colombia sisi tumebaki kumkandia kocha bila kuangalia kama timu zinawachezaji sawa na jina la timu

Hivi dembele angakuwa united kisha unasikia tunataka kumuuza ingekuwaje kama barcelona wanavyotaka kufanya?

Martial anaambiwa na kocha akaze mtu unamchukia kocha kwamba hana mbinu

Makocha hawapewi uhuru wa kuamua mchezeji amtakae kama pep anavyosikilizwa timu zimebak kupigania pesa kisha uwekezaji uwanjani kidogo sana had wasikie mtiti mashabik wamechukia na majina ya jez ndipo wanatoa pesa hamna mchezaji anaeniuma kumkosa kama perisic anakaba na kushambulia
 
Last edited:
Pamoja na kurithi kikosi imara zaidi ya United, Pep amesaini wachezaji 20 ndani ya miaka 2 iliyopita, Mourinho amesaini wachezaji 9 tu



Ukisoma hiyo post utaona kabisa mourinho anaonewa sana sasa unapambaba vipi na city?

Timu aliyoikuta pep akafukuza bado hatukuweza kuifunga achilia mbali hii aliyonunua watu wake.

Sasa unapata jibu kwa nini kocha hawezi kumuuza hata fellain mana anajua bodi inasumbua kubadilisha wachezaji ni bora kuzuia kuliko kupigwa chuma 5

Mourinho naimani nae sana mnaomkosoa mjitathimini kama hatuwezi hata kununua new players kwa nini tumshambulie kocha?

Hivi young anapata namba kwa pep?
 
Dhambi aliyoifanya mourinho mechi yetu na sevilla uefa sijikumsamehe labda abebe uefa.Ile siku ndio niligundua uwezo wa mourinho umeanza kufika mwisho.
Mourinho ni kocha ambae mambo mepesi yeye anataka kuyafanya magumu,zama zimebadilika
 
Mkuu mnabishana sana ila mimi nilivyowaelewa wakuu humu wanaompinga Mou,

sio kama hawajui Ed ni tatizo noooo wanajua jmaa nae anazingua katika suala fulani.... But wanalalamika uchezaji wa Mou mtindo wa falsafa ya kupack bus hadi pre- season.... pia wanalalamika lawama za wazi anazotoa Mou kuhusu team na kulaumu wachezaji.....


Angalia press conference baada ya liver angekuwa mtu wa kariba ya Sir Alex au hata Duma wa Simba asingesema et "sijajifunza kitu chochote coz nusu ya wachezaji wangu wa kikosi ya kwanza hawapo, Mara Sanchez hawez kuwa na furaha kwa wachezaji anaocheza nao".....

zunguka duniani kote hadi ndondo huwezi kuta kocha anaekatisha tamaa wachezaji kama Mou.....wew kama mchezaji na unasikia kuwa kocha anasema mmecheza shit, lawama juu eti bailly hawezi kuwa kiongozi.

Kumbuka kipindi cha sir Alex yeye alikuwa anasema huwezi win games pasipo kuwa na leaders katika team, akasema wachezaji wote lazima wawe leaders kuongea na wenzao ili wapate best results, kwa Mou hii haipo kabisa.

Tukubali Mou ni binadamu na anashindwa tusiongelee mafanikio ya inter, sjui Chelsea 2005 huko, tuangalie Mou anafanya min now, utagundua anakosa option, hii issue aliisema Gary lineker siku chache kabla ya Van gal kufukuzwa alisema atafukuzwa coz hana option pia anaonekana yupo confused hajui afanye nin, at last Van gal akafikuzwa.....hii inatokea kwa Mou why asikubali kushindwa yeye awe anatafuta viteteo kuwalaumu wachezaji mmoja mmoja.....

Wakuu wachezaji weng wamezidiwa age ya kuanzia 10 na makocha wao so tunasema coaches are like Fathers......baba bora anaficha mapungufu ya wachezaji wake Mara kadhaa nimeona Simeone wa Atletico katika press anasema yeye ndo wakulaumiwa wachezaji wametoa kila walichonacho.......umeona Lin Mou kafanya hivi????
 
Last edited:
Ukweli mchungu, Mou hawezi kutusua mbele Ya Guardiola. Haiwezekani na haitawezekana.


Alishindwa kupambana na Guardiola alipokuwa Madrid kwenye team iliyokuwa inamwaga mahela kwenye transfer window. Laiti timu ingekuwa inaonesha walau kiwango kizuri hata mimi ningesapoti Mou asajili wachezaji hata 10. Ninaamini Kwa mbinu za Mou hata aje Mesi,Ronaldo, Salah na wengine wengi, hatuwezi kufua dafu kwa mbinu zile za kupack basi na kushambulia kwa kubahatisha.



Mou anaenda Third season akiwa hana reliable first eleven ( Pathetic).



Klop is far better than Mou tactically. Kama Klop akipata Squad Depth ambayo inaweza kumsaidia kufanya Team Rotation na Replacement ya Wachezaji kipingi cha Injury: Liver itamchallenge sana Man city. Kwani naamini kimbinu Klop ana uwezo wa kujibizana na Guardiola na Wala sio Mou.



Kuna watu since last season tumekuwa tukiwaonya kuwa Mafanikio ya Mou yaliishia pale pale Europa Na FA hatakuja kuwa na la ziada. Kama kuna uwezekano wa kufukua comments zangu nisaidieni muone. Na nikasema msimu wa 2017/8 Tutatoka kapa huku nikimpa chagizo Guardiola kuwa atabeba ndoo tatu bahati mbaya akabeba ndoo 2.


Na nikasema Huku nikiweka ushahidi wa interview ya Paul Scholes akisema kuwa, Kikosi kile kile cha Manchester United akikichukua Guardiola Na cha man city kile kile akikichukua Mou. Kikosi cha Manchester United chini ya Guardiola kitafika mbali huku cha mancity chini ya Mou kitasuasua kutokana na mbinu zake mbovu.





Mimi nasema tu, Mou ni Garbage. Nashukuru mungu ubovu wake umeanza kujilidhisha mpaka kwa Board. Ni suala la muda awe sucked before he has turned us onto turnel.
 
Hivi Kwa team kama united inaweza kushindwa kununua mchezaji???


You're matured enough use your medulla oblongata to logic what's going down felah.


Yaani unaamini kabisa team yenye ukwasi inashindwa kununua player. Hahahahaha



Nasema tena Sit Down And Think Twice, utapata Majibu.
 
Mkuu so it seems the board is looking at another options....so wanaona wasitumie hela kwa mtu alieshindwa o???
 
Mkuu so it seems the board is looking at another options....so wanaona wasitumie hela kwa mtu alieshindwa o???
Pamoja na utajiri mkubwa ilionao kuvizidi vilabu vyote vya soka duniani, United wamekuwa na tatizo kwenye kufanya usajili chini Ed Woodward. David Moyes alisajili mchezaji mmoja wakati alipoachiwa timu - na alilalamika kwamba bodi ya United ilimuangusha kwenye usajili. Van Gaal pia alitoa malalamiko kuhusu bodi na Woodward kwenye usajili na sasa Mourinho
 
Mkuu so it seems the board is looking at another options....so wanaona wasitumie hela kwa mtu alieshindwa o???
Definately Yes,


Moyes alirithi kikosi akijua atapata nacho mafanikio kwa sababu ni kikosi kilichokuwa kimetoka kubeba ndoo.


Robin Van Persie Alikuwa katoka kuwa top scorer bench kuna sub ya chicharito na welbeck. Hivi ni kocha gani angesajili kwa utatu huu. Nyuma yao alikuwepo Rooney akifanya mambo Van Persie kuchukua golden Boot.



Winger alikuwepo Ashley young + Luis Nani + Wilfred zaha alieletwa baada ya kuwa on loan crystal palace alipotumia one year on loan baada ya kusajiliwa na Ferguson. David Moyes imani yake ya kikosi Kilichoachwa na Ferguson ndio iliyomuangusha na sio suala la kutoletewa wachezaji. Mpaka anaondoka moyes hajawahi kusema alikuwa anabaniwa kwenye transfer.


Sasa unaona watu wanakuja na Hoja "Utumbo " eti moyes hakuletewa wachezaji Comeeeeeon. Uongo.


Watu wanashindwa kutofautisha Mchezaji kukataa kuja manchester United na Bodi kushindwa kusajili.

Kusema manchester united inashindwa kusajili huu ni uongo mzito. Baadhi ya Wachezaji ndio wanakataa kuja united. Kipindi cha David Moyes united Ilikuwa inamvizia Toni Kroos alipokuwa Bayern Munich, ila yeye binafsi Kroos aliamua kwenda Real Madrid. Maamuzi Binafsi na sio team kushindwa kumsajili.



Kipindi cha David Moyea pia team ilimtaka Muller wa Bayern Munich ila mchezaji mwenyewe aligoma kutoka Bayern. Sasa mtu haoni hizi scenario anasema timu inashindwa kusajili.



Bahati mbaya hili wimbi la wachezaji kuikataa united mpaka leo chini ya Mou lipo. Huyo Ivan Perisic kama angekuwa ana nia ya dhati kuja united asingesaini long term contract katika kipindi cha dirisha dogo la usajili united ilipokuwa ikimfukuzia.


Tutofautishe Timu kushindwa kusajili na Wachezaji kuikataa timu. Tunaona Fabinho aliikataa waziwazi Arsenal dhidi ya Liveroool. Kaamua kwenda liver sasa shabiki maandazi atakuja kusema arsenal haiwezi kusajili. Mwisho wa siku mchezaji ni binadamu ana maamuzi yake.


Tukubali tukatae ni wachezaji wachache wangependa kucheza chini ya Mbinu za Mourinho. Leo hii Mchezaji akigombaniwa na Gurdiola na Mou bila shaka karata inaweza kuangukia kwa Guardiola kumnasa mchezaji.


Chini ya Mourinho team inaenda kupitia kipindi cha kukataliwa na Wachezaji kama ilivyokuwa kwa Arsenal na Liverpool Kabla ya ujio wa Klop na kabla ya kuondoka kwa Asrene Wenger.




Ninapomsikia mtu anasema united haisajili namuangalia naishia kusema, huyu mtu hajui asemalo.
 
Acha uongo , David Moyes alisajili two players Maroane Fellain na Juan Mata Garcia.



Fellain alisajiliwa siku ya Deadline na Mata akasajiliwa Kwenye January transfer window. Ndio maana mata hakuwa anacheza game za uefa kwa sababu alikuwa ameshacheza baadhi ya mechi za uefa akiwa Chelsea.

Na hayo ndio yalikuwa mapendekezo ya Moyes.



Acha kulazimisha Vitu Ed Woodward aonekane mbaya. David Moyes mpaka leo huwa anasema hakupewa muda wa kutosha na sijawahi kumsikia anasema au kulalama eti hakusaidiwa kusajili. Ingia You tube ucheki interview yake Baada ya kuwa sacked. Hizo sababu ndio nimeziona kwako. Moyes alitaka ajenge team msimu wa pili, tafuta hiyo interview kijana.


Hapo kwa Van Gal nae pia huo ni uzushi. Tena kwa Van Gal ndio sitaki hata kusema.
 
Kuna watu watakuwa wameanza kushabikia unite Majuzi tu. Hata kipindi cha furguson kuna wachezaji akiwataka ila walisepa na kwenda timu zingine.


Wa kwanza ni Alexis Sanchez akatimkia zake Barcelona akitokea Huko italia.


Manuer Neur babu alimtaka saaaaaaana akatimkia Bayern. Na kipindi hicho CEO alikuwa David Gill na sikuwahi kusikia mtu anasema Gill dhaifu. Ilieweka wachezaji walifanya maamuzi yao binafsi.
 
Hata Alcantara pia alimgomea babu
 
Tusipokuwa wavumilivu na kutambua kipind ambacho timu inapitia tutapata tabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…