Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usajili unaofanywa na liverpool ndio ambao ulikuwa ukifanywa na hii timu sasa tumechukua nafasi yao

Naona yule ed anamuonea sana mourinho anaigueza hii timu ya kibiashara sio uwanjani tena timu inaongoza kwa thamani lakin inazidiwa na juve ktk usajili.
 
Hatari tupu na msimu huu ndo kabsaa Valencia alitukost sana msimu uliopita then beki ya kati ukitoa elick na rojo wengine ni tia maji tia maji
 
Duh msimu huu naona nitapata taabu sana Manchester United ishaanza kunikatisha tamaa huku bongo nako timu yangu nayo ovyo sijui itakuwaje?
Yaani nahisi kama iliyokuwa hali ya "washika bunduki" imeamia kwetu.
 
Young ashachoka Valencia umri umemtupa Jones na smaling ndo usiseme ukiangalia man city kila namba ina watu wawili nao ni wakali masikin man united tutaficha wap sura zetu
 
Young ashachoka Valencia umri umemtupa Jones na smaling ndo usiseme ukiangalia man city kila namba ina watu wawili nao ni wakali masikin man united tutaficha wap sura zetu
haaaaa haaa ngoja nikununulie mask
 
Hizi timu ni za kibiashara zaidi. Hivi hamjui kila kiwekwacho on TV bila biashara kisingeonyeshwa? Mtapata shida msimu huu. Mourinho leo kasema kuna uwezekano msipate
 
Tatizo la Manchester united Ni Jose Mourinho.


Huu msimamo wangu nimekuwa nao na nitaendelea kuwa nao milele. Nimekuwa nikitoa sababu za kusapot ninachosema.




Kama team itavuka hapa tulipo siku tukitambua tatizo ni Mourinho.
 
Tatizo la Manchester united Ni Jose Mourinho.


Huu msimamo wangu nimekuwa nao na nitaendelea kuwa nao milele. Nimekuwa nikitoa sababu za kusapot ninachosema.




Kama team itavuka hapa tulipo siku tukitambua tatizo ni Mourinho.
Sasa aje nani? Alikuja Moyes kisha Van Gaal wote hawakufanya la maana. Mtu amekaa miaka 2 lawama kibao. Kila siku nasema, hakuna kazi rahisi kama kulaumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…