Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

34562270_10156696115643598_2273665483599249408_n.jpg
 
huyu bwana mdogo diogo dalot nimeangalia video zake kiukweli ana tabia za dani alves wa sevilla
si mlinzi wa kubahatisha kama walivyo baadhi ya walinzi wengine wa ligi kuu.
anajua dribble
cross uhakika
speed kubwa
anatumia miguu yote.
Tatizo ni kwamba utashangaa anafanywa kama lindelof..yaani valencia atamweka benchi..ila mi naona valencia ni muda wake sasa wa kukaa benchi kupisha damu mpya zenye ubunifu kwenye nafasi ya fullback right...kama haitokuwa hivi basi nitashangaa sana

Angalia dogo yule wa liver anavyokichafua beki mbili..ishu ni kuaminiwa na kupewa nafasi
 
Tatizo ni kwamba utashangaa anafanywa kama lindelof..yaani valencia atamweka benchi..ila mi naona valencia ni muda wake sasa wa kukaa benchi kupisha damu mpya zenye ubunifu kwenye nafasi ya fullback right...kama haitokuwa hivi basi nitashangaa sana

Angalia dogo yule wa liver anavyokichafua beki mbili..ishu ni kuaminiwa na kupewa nafasi


Mkuu Kila Kocha Ana System Yake!

Huyu Hakusajiliwa na Mourinho Kama First XI squad Bali amesajiliwa Kama Backup Kwa Valencia.

Kutokana na System ya Mourinho Kwasasa Hakuna Wa Kumueka Bench Valencia.

Wakati Ni Mdogo Kiumri basis ajitahidi Kukomaa na Mazoezi tu asubiri Valencia umri umtupe mkono ili azuie nafasi.
 
Tatizo ni kwamba utashangaa anafanywa kama lindelof..yaani valencia atamweka benchi..ila mi naona valencia ni muda wake sasa wa kukaa benchi kupisha damu mpya zenye ubunifu kwenye nafasi ya fullback right...kama haitokuwa hivi basi nitashangaa sana

Angalia dogo yule wa liver anavyokichafua beki mbili..ishu ni kuaminiwa na kupewa nafasi
Valencia simkubali kabisa kwenye suala la kupiga cross. Kuna haja gani ya kupanda halafu cross karibia zote majanga. Anyway, ngoja tuone timu itakuaje
 
Mkuu Kila Kocha Ana System Yake!

Huyu Hakusajiliwa na Mourinho Kama First XI squad Bali amesajiliwa Kama Backup Kwa Valencia.

Kutokana na System ya Mourinho Kwasasa Hakuna Wa Kumueka Bench Valencia.

Wakati Ni Mdogo Kiumri basis ajitahidi Kukomaa na Mazoezi tu asubiri Valencia umri umtupe mkono ili azuie nafasi.
Naweza kusema valencia ndo mchezaji mwenye productivity ndogo kuliko wote kwenye first 11 ya united..sijaona sababu ya yeye kuanza..even his expirience doesnt matter kwenye soka la sasa
 
Hivi kwa nini hatumuapproach marcelo


Sina Uhakika Wa Buy out Clause ya Marcelo Ni £bil ngapi! Lakini Kwa Ninavyoifahamu Madrid Katika First XI Yake Mwenye Buy Out Clause ndogo Yao basi Ni zaidi ya £700m+. Sasa Kuhusu Huyu Marcelo usishangae Kuwa Thamani Ya Timu nzima ya Man Unite + Man City + Liverpool + Chelsea ndiyo Buy Out Clause Yake.
 
Huyu Mou kwa anavyosajili msimu ujao atuambie tena bado anatengeneza timu.
 
Sina Uhakika Wa Buy out Clause ya Marcelo Ni £bil ngapi! Lakini Kwa Ninavyoifahamu Madrid Katika First XI Yake Mwenye Buy Out Clause ndogo Yao basi Ni zaidi ya £700m+. Sasa Kuhusu Huyu Marcelo usishangae Kuwa Thamani Ya Timu nzima ya Man Unite + Man City + Liverpool + Chelsea ndiyo Buy Out Clause Yake.
umeandika huku unaelewa unachokiandika???
 
umeandika huku unaelewa unachokiandika???


Najua Kila Mtu Hapa #JF hujifanya Hajasoma [HASHTAG]#HKL[/HASHTAG] Kwahiyo Kiswahili Kimekuwa Kigumu Kukielewa! Lakini Jaribu Hivyohivyo Kukosoa Nilichoandika Sio Kucriticize tu bila Ya Kuwa Specific.
 
Najua Kila Mtu Hapa #JF hujifanya Hajasoma [HASHTAG]#HKL[/HASHTAG] Kwahiyo Kiswahili Kimekuwa Kigumu Kukielewa! Lakini Jaribu Hivyohivyo Kukosoa Nilichoandika Sio Kucriticize tu bila Ya Kuwa Specific.
kha!!! yaani kabsa ww King Ngwaba na upeo wako wote ndo umeandika hivyo....mchezaji ana 30+ age halafu releasing clause yake iwe hiyo uliyosema ww!!!
 
Sina Uhakika Wa Buy out Clause ya Marcelo Ni £bil ngapi! Lakini Kwa Ninavyoifahamu Madrid Katika First XI Yake Mwenye Buy Out Clause ndogo Yao basi Ni zaidi ya £700m+. Sasa Kuhusu Huyu Marcelo usishangae Kuwa Thamani Ya Timu nzima ya Man Unite + Man City + Liverpool + Chelsea ndiyo Buy Out Clause Yake.
dah aiseeeeeeeeeeeeeh
 
kha!!! yaani kabsa ww King Ngwaba na upeo wako wote ndo umeandika hivyo....mchezaji ana 30+ age halafu releasing clause yake iwe hiyo uliyosema ww!!!

Sikuandika Kwa Kibahatisha! Nyota Wa Real wote Buy out Clause Zao Ni Zaidi ya €1billion regardless umri Wao kama Ni above au below 30years.
 
Sikuandika Kwa Kibahatisha! Nyota Wa Real wote Buy out Clause Zao Ni Zaidi ya €1billion regardless umri Wao kama Ni above au below 30years.
Hizo ni bei za kuuzia sura tu magazetini....peleka sahivi £300m kama utanyimwa mchezaji yeyote pale...kiufupi hakuna mchezaji anayezidi £500m hata kama ni Messi..
 
Back
Top Bottom