Mkuu Sema tunabaki Wembley..!!Woyooooo tunaenda Wembley!!!!!
Hahahahaha kumbe tumepazoea eeeh!!!Mkuu Sema tunabaki Wembley..!!
Leo kachemsha kwa Pogba. Huwa ana msuli sana ila Pogba kampa msuli wa maana leo hasa goli la kwanza.Pana sub kocha wa timu pinzani akifanya mnashangilia kiuhakika yule mousa dembele alitusumbua pale kati anavyonyumbulika ilikuwa khatari sana.Tulikuwa Wembley tunabaki hapo kusubiri majaaliwa ya the blues na the saints.
Nimecheki highlight aisee ile ilikuwa imetulia unyama unyamaniLeo kachemsha kwa Pogba. Huwa ana msuli sana ila Pogba kampa msuli wa maana leo hasa goli la kwanza.
Hivi Harry Kane kipindi cha pili alitoka mbona sikumuona kabisa 😛
Kane karudishwa haraka kutoka majeruhi, he isnt up to speed
Hakutoka, alikuwa invisibleHivi Harry Kane kipindi cha pili alitoka mbona sikumuona kabisa 😛
Glory Glory Manchester United tuliteteee tu tena kombe letu la Mbuzi angalau mwaka huu tusitoke tena patupu ...... haters kama nawaona hahahaha!!!
Hahahahahaaha aiseee karibu sana!!! Niambie uko wapi tuchome mbuzi is it true Wenger kasema goodbye au rumours? hahaha!!Hongereni sana humu wapenzi na mashabiki wote wa ukwee wa MANU kwa kulibeba kombe mbuzi kwa mara nyingine tena. Yule mtaani wenu BAK alipita kuja kuwapa pongezi si haba.
Hahahahahaaha aiseee karibu sana!!! Niambie uko wapi tuchome mbuzi is it true Wenger kasema goodbye au rumours? hahaha!!
Hahahhahahha aiseee!!! Ngoja niandae vinjwaji na mbuzi nikusaidie kusherekea!!! Aiseee hongereni aisee so utani kama vile mmechukua kombe.Weye andaa kwa kesho nitapita, hatimaye Babu kaamua kubwanga manyanga!!!! Wamemuondoa kiutu uzima aseme mwenyewe badala ya kuwa fired. Nilipoona sikuamini mara ya kwanza kwani last summer alisign mkataba mpya wa miaka miwili ulitakiwa uishe mwisho wa msimu ujao. Kumuondoa Babu Emirates ni sawa na kushinda kombe mbuzi LoL! Hahahahaha