Katika sub ambayo sijaielewa ni kumtoa herrera na kumuacha mata ambae toka gemu inaanza alikua ameflop kitambo yani dah. Hii timu nadhani hata msimu ujao ni haya haya leo furaha kesho huzuni kama Arsenal
Hapo Nimetumia Kawaida Yetu Washabiki Pale Mtu Anapofungwa Huwa Tunaleteana hizo Mockery za Kishabiki.
Lakini wewe Muda wote with no reason umekomaa na Mipasho tu Kuhusu Timu Za Wengine.