SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Katika sub ambayo sijaielewa ni kumtoa herrera na kumuacha mata ambae toka gemu inaanza alikua ameflop kitambo yani dah. Hii timu nadhani hata msimu ujao ni haya haya leo furaha kesho huzuni kama Arsenal [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hahahahah, UEFA ipi mkuu???Naona man u leo kapumzisha kikosi kwajiri ya UEFA
Yani ulibonga kwa kujiamini sana. [emoji3] [emoji3]Wes Brom wanashushwa daraja leo! Tuna mawili aidha tumpe mtu ubingwa au tumshushe mtu daraja
hauna haja ya kuwapa pole. Ni kuwacheka tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Poleni sana watani
Acha wehu mkuu,usijitoe fahamu wewe nakujua fika una akili zako timamuFT: United 0 vs Albion 0
Man City are the CHAMPIONS
eti mlango wa nyu.ma! teheeeYaani tumeamua kumpa City ubingwa kwa mlango wa nyuma
Hahaha nipo mtu wangu, sijabadili id ila wewe ndiyo sijakuona muda kidogo,Nipo jamani missing you more so much..... nilijua umechange Id maana sijakuonapo kabisa!!
Mna roho nzuri sana mmempa tittle na pia mmemuongeza mtu pumzi anayepumlia mashineWes Brom wanashushwa daraja leo! Tuna mawili aidha tumpe mtu ubingwa au tumshushe mtu daraja
Livapuli fans trolling Manchester united is the funniest comedy ever.
When last did these dummies see gold apart from klopp's teeth?
Timu za wengine kwenye jukwaa la Manchester UnitedHuu Ndiyo Mwanzo Wako Wa Kuchanganyikiwa! Sasa Umeishia Kukomaa Na Mipasho Kwa Timu Za Wengine.
We Lumbe una roho nyepesi sana, unapenda banter alafu mwepesi kulia lia.Huu Ndiyo Mwanzo Wako Wa Kuchanganyikiwa! Sasa Umeishia Kukomaa Na Mipasho Kwa Timu Za Wengine.
We Lumbe una roho nyepesi sana, unapenda banter alafu mwepesi kulia lia.
Hii picha ilikua inamaanaisha nini?