Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Pamoja na hayo, niliona kama wachezaji walikuwa wazito sana...sikutegemea kama wangekuwa slow kihivyo, ni kama walikuwa hawajui wanachofanya which means si kosa la kocha ila ni wachezaji wenyewe hakuna ambaye alikuwa anafeel umhimu wa game zaidi ya Valencia na Young wengine walikuwepo kuwepo tu!! Hakukuwa na morali yeyote, Sanchez is a looser, wengine hawana experience nzuri ya CL hivyo machungu ya kutolewa ndo kwanza wanaanza kuyaonaMim sijakataa kuhusu haya matokeo tumeshafungwa na tumeshatolewa ila tactical way alichemsha sana ile jana na hawez kukimbia hilo kwenye kusifia atasifiwa ila kwenye kukosea atakosolewa pia
Sina shida na mfumo wa Kocha ndio ameamua kuwa hvyo ila kuna mech hyo mifumo haiwez kufanya kaz
Wenger ni zaidi ya Mourinho!!Acha kumfananisha profesa na rubbish
ila tuache kujifariji...kati ya konte na mor nani atatoka kwa aibu? maana tukiangalia ugumu wa timu walizokuwa wanakutana nazo!
Wanapokezana huko
Leo zam ya Conte
Kesho cjui Kama Wenger
Atatuokoa wagunnes
Finally Sevilla saved the world from noise pollution
😀 😀 😀
Mou ndo wakubeba aibuila tuache kujifariji...kati ya konte na mor nani atatoka kwa aibu? maana tukiangalia ugumu wa timu walizokuwa wanakutana nazo!
mmh, morinho bwana!
😀😀😀😀
Champions League Whatsapp group
Liverpool (online)
Chelsea (is typing)
Bayern (online)
PSG (left)
Madrid (online)
Tottenham (left)
Juventus (online)
ManCity (online)
Barcelona (is typing)
Arsenal(Last seen December 2016)
Manchester United(Last seen: 10 hours ago)
bailly ni kama ka*erect* au ni macho yangu?
Sub n Kwa ajili yenu naPamoja na kosa la kocha. Angalia lawama za hawa wanaomlaumu kocha mmoja wao juzi juzi hapa alikua anasema man u walishinda kibahat sababu ya sub utadhan sub hairuhusiwi au wale wachezaji sio wa man u. Tusiwe kama arsenal fans,mou anakosea sana ila mechi ya jana kama tungeshinda haya makosa yake hakuna ambae angeyaona.
Lile kosa la bailly kujifunga mechi ya liverpool halikuonekana sababu ya ushindi ila kama liver wangerudisha magoli zaid na ushind juu bailly na mou wangekua kwenye lawama kubwa,juhudi zake zote zingesahaulika. Tukubali tu matokeo.
Tena n furaha sana yanUgonjwa kabisa,naona na saiv mashabiki wa arsenal wanachekelea man u kutolewa UCL so wanaona kama kumkomoa sanchez.
Kwema hapa poleni? Haina haja kusikitika kwanza UCL mlisukumizwa tu.
mtani tuonee huruma ujue tuna uchungu mkubwa sana kwa kutolewa hukuKwani Mpira unachezwa Kwenye Keyboard?
Yule gadiola tungempata aisee daahWakuu najiunga na Mashabiki wa Man Utd ulimwenguni kote kuumia moyoni kutolewa mapema UCL na Seville..
Tunasubili World Cup tu hakuna kingne tena,,,
Tunashukuru ubutu wa Chelsea pengne story zingekua zingine..
Ila kuna wakati tunatakiwa tujue nini hasa shida ya Manchester Utd??
Falsafa ya Mwl?
Mbinu zake uwanjani??
Wachezaji wa kawaida??
Wachezaji hawapambani??
Utd ni team kubwa kama Jose kachemka/atachemka
Sijui nani anaweza kuokoa jahazi,, but any way tujiunge na wenzetu wa... Next Season...
Kwauandishi uu sijui utakuwa kabila gani mkuuHazizidi Siku NNE zilizopita hapahapa Mulimmwagia Misifa Mourinho Kuwa Ni Bonge la Kocha Anaejuwa Kutafuta Ushindi Kwa Mbinu Tofauti na Mukadai Anapotaka Ushindi Huwa Hashindwi Kuupata.
Leo Hii Kawa Mjinga! Mara aondoke! Hivi Ni Kweli Tokea Awali Muliamini Kuwa Mourinho Anaweza Kuwapa Furaha yenye Kuendelea?
TENA KUNA MADOGO HAPA ETI WANADAI MOURINHO AMEWARUDISHIA TIMU KAMA YA SIR FERGUSON!!!! HUKI NI KUMDHALILISHA BABU KWA KUMFANANISHA NA MOURINHO.
Mourinho ana mbinu za kumkamia Chelsea na Liverpool tu basi ambazo akishinda Mechi Hizi Mbili Ndiyo Munamuona Ni Mtu Mjanja Sana.
Alafu chaajabu adi ume bold maandishi yakoKarne hii unazungumza ukabila?
Pole sana mke wa jux
Mneno yako yana kila viashiria kuwa unakalia gogo mkuuEmoji za kike au unatoa ndogo?