Hahaha huwez amin jana nimesepa dakika ya 20 nlipomuona lingard na fellain wameanza nilijua kutoka ni mbinde namuaga jamaa yangu akajua utan ila kawaida mkuu kuna muda makocha wanavuta weed hasa mourinhoHahahaaaaaa timu yangu naijua mkuu so ukiona kimya ni majukumu tu ya kifamilia na kiharakati.........
Poleni ndugu zangu naona jana ulilala mapemaaaaaa
Vizuri sana ninachokukubali wewe ukipigwa hukurupuki na mipovu unatafakari kwanza ukirudi unarudi vizuri.....so maumivu ya jana na utakayoyapata kesho baada ya gunners kumpiga knockout gatusso yatakufanya uwe bora zaidiKesho nipo ac milan mm na gatuso huwa hatufungw mara mbili
Usijali mrudi katika game za jmosi sasa ili wakimataifa tuendelee kuipeperusha bendera ya nchi,Hahaha huwez amin jana nimesepa dakika ya 20 nlipomuona lingard na fellain wameanza nilijua kutoka ni mbinde namuaga jamaa yangu akajua utan ila kawaida mkuu kuna muda makocha wanavuta weed hasa mourinho
Kesho hatufungwi ac milan chama kongweVizuri sana ninachokukubali wewe ukipigwa hukurupuki na mipovu unatafakari kwanza ukirudi unarudi vizuri.....so maumivu ya jana na utakayoyapata kesho baada ya gunners kumpiga knockout gatusso yatakufanya uwe bora zaidi
Kocha ana hesabu zake mkuu angalia game bado haijaisha
De Gea kachoka aisee!Jana degea alikuwa kama ramadhani kabwili
Alipoaza big fella nilimuona huyu jamaa genius nikawa najua hapa sub itakuwa ya Mata kwa Lingard. Wakati huo mkeka wangu unapumuwa alivyomtoa Big fella nikagundua hakuna mtu tahira duniani kama Mourinho na ungese wake wamenichania mkeka.Naona mahesabu yake yamekamilika sasa....huyu Mou matako kweeeli!!
Cha ajabu sub ingefanya kazi mngesema Maurinho ni master of tactics!Alipoaza big fella nilimuona huyu jamaa genius nikawa najua hapa sub itakuwa ya Mata kwa Lingard. Wakati huo mkeka wangu unapumuwa alivyomtoa Big fella nikagundua hakuna mtu tahira duniani kama Mourinho na ungese wake wamenichania mkeka.
Aende majoo wa Liver 'atapata' vikombe! Kheeee kheeeee kheeeeeeeee. Kila mbabe na mbabe wake, huku liver is stuffed by United kule Manu ile stuffed by seville at their own back yard.De Gea kachoka aisee!
Kila game ni yy tu anatoa 100%
Nadhani ataondoka mwisho wa msimu,pale hapati kombe lolote la maana labda Yuropa na FA
Juzi juzi tu na liver mashabiki mlisema jamaa ni genius kwa tactics. He stiffled out an outright attacking team(liver), jana vipi tena.Naona mahesabu yake yamekamilika sasa....huyu Mou matako kweeeli!!
Liver na man ni derby??? Au sijui maana ya derby!!!
RRONDO.wana man u, mmeamkaje! polen kwa uchovu
Ni kwamba La liga ni ligi bora, hata ingekuja Eibar, moto ni ule ule.Dha jana ilikuwa aibu sana...ila nahisi jirani katuchoma sana...vijamaa vimetamba sana uwanjani kwetu...
Kwenye knock out stages, draw ya bila bila away huwa mbaya sana.Mourinho fvcked us guys, since day one kule Spain