Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwakuwa wewe humkubali ndo aje Klopp?

What is so special with Klopp?

Nitajie mafanikio na uzoefu wa Klopp ambao unamzidi Morinho?


Kwa nini Klopp asifanye kweli hapohapo liverpool kwanza?


Liverpool wenye Klopp wako wapi mwaka wa tatu huu?!! Au Liverpool ina wachezaji wabovu.


Klopp hapo Liverpool kachukua makombe mangapi mpaka sasa?


Klopp msimu wa tatu hata calabao cup Hanna sijui ubora wa kocha mnapima vipi wenzetu ndo kwnza anapambania top 4


Message Delivered √√
 
Jose Mourinho atakuwa miongoni mwa wachambuzi wa soka watakaofanya kazi na kituo cha Russia Today wakati michuano ya kombe la dunia itakapokuwa ikichezwa nchini Russia. Jose atafanya kazi kwa siku 4 tu RT na malipo yake yatakuwa £1.6m au £400,000 kwa kila siku - kwa maana hiyo ndani ya siku 4 atakazofanya kazi Jose ataondoka na kiasi cha shilingi billioni 4,987,627,312.
 
Kuna mtu amesema anamtaka Klopp kuliko mourinho


Dunia haiishi vituko
 
Mwaka jana mourinho alitukanwa sana na mashabiki wa chelsea, kuna siku nikawa nimekaa napitia pitia comments za mashabiki wa chelsea kwenye forums zao (sio jf) huwezi amini zaidi ya 60 they wish jose angekua bado kocha wao hadi sasa.
Mafanikio ya Conte kwa foundation iliyojengwa na Juda yaliwapumbaza sasa ndio wanamjua Conte vizuri
 
Mashabiki wa Liverpool na arsenal zenu ni kuwaombea mabaya man u tu badala ya kudeal na ukata wa makombe kwenu
Mbwa nyie


Hii Sio sio Kauli Za Kiungwana wala Kirafiki Kabisa Na inakwenda Kinyume na Hata [HASHTAG]#Sheria[/HASHTAG] Za JF.
Kwani Nyumba Moja Baba Arsenal au Liverpool na Mtoto Man United na still hawavunjiani Heshima.
Jifunze Ustaarabu Wa Kujua la Kuzungumza.

Kutofautiana Mapenzi isiwe Sababu Ya Kuitana Mbwa.


Na Chakushangaza Kama Hawa Al assad na Damushin wanadiriki Kulike Post Hii isiyo ya Kistaarabu.
 
Kuna watu huwa siwaelewi kabisa.

Wao ndo wanajua kupanga kikosi kuliko kocha anayewafundisha kila siku.

Mou is world class coach na aina yake ya mpira ambao lazima sisi mashabiki tuukubali, labda tuhame timu.

Klopp akija United anaweza asifikie alichofikia Mou.
 
Mwaka jana mourinho alitukanwa sana na mashabiki wa chelsea, kuna siku nikawa nimekaa napitia pitia comments za mashabiki wa chelsea kwenye forums zao (sio jf) huwezi amini zaidi ya 60 they wish jose angekua bado kocha wao hadi sasa.
Ndugu ulijifutika wapi? longtime kitambo hujatimba anga hizi vipi kwema lakini? welcome back.
 
Mousa Dembéle of Tottenham is Everything Paul Pogba wishes he was
 
Ndiyo maana huwa naheshimu sana tactics za Mourinho ..Yaliyomkuta jana Tottenham isingewezekana kwa Kocha aliye na maturity na heshima ya mpinzani ..kocha an advantage ya draw sway halafu home unaongoza ..inashindwa kufanya sub za kulinda ushindi. Hopeless spurs
 
Eti mournho sio kocha aje pochetino toka aichukue spurs Hanna kombe sifa kubwa anapiga Pasi na kushambilia

Acheni jamani mwaka Jana katolewa na gent Europa kila mwaka anasulubiwa uefa spurs inahitaj kocha mzoef kama mou kocha mdogo timu inawachezaji waliokomaa kushinda mataji
 
Kilichowakuta Spurs kinafanana kile kilicho wakuta Bayern Munich final ya UCL 1999 vs Man united ..dakika zinakaribia kuisha wakiongoza goli moja bila .mioyo yao akaanza kushangilia wachazaji wakawa wanaonyesha umwamba wa kugongesha Mwamba Ferguson akawasoma vakafanya sub mbili matata ..kona ikapigwa vwakasawazishiwa.Akili yao akawaamisha wanaeongezwa dakika 30 maana dakika 90 zimalizika sare.. Bila kujua vijana wa Ferguson wao hawakuta hizo 30 ila walitaka ngoma iishie dakika 90 ..kilichowakuta Munchen ni history ambayo mpaka Leo huzungumzwa ..hata final na Chelsea vs Bayern ..Walililax Drogba akafanya yake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…