ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
Kwangu Mimi napinga. Hiyo ni hela ndogo na anachokifanya uwanjani. Wamuongezee zaidi ya hapoKuna taarifa kuwa de Gea atakuwa analipwa pound 300,000 kwa wiki
Kwangu Mimi napinga. Hiyo ni hela ndogo na anachokifanya uwanjani. Wamuongezee zaidi ya hapoKuna taarifa kuwa de Gea atakuwa analipwa pound 300,000 kwa wiki
Duh! Hongera aisee!! Kumbe nilikuwa Nasubiri Meli Ubungo.
Bahati mbaya umechelewa hiyo meli ipo DodomaJana kocha alifanya maamuzi magum ..kumtoa Valencia na young..kilichonifurahisha ni jinsi Mata na walivyochza upande Wa kulia na hiyo ndiyo ilikuwa turning pointIla mimi bado sioni sababu za Mou kumuweka bench Shaw,labda kama Young ni shemeji yake.
nakumbuka ile match na chelsea alivyotoa assist ya goli kwa lingzAmefurahi kama kafunga yeye vile!! Napenda sana kumwona mchezaji ana passion na timu na sio tuu pale kwenye mafanikio yake binafsi
Mimi hii nilishaihesabu ni goli kuja kuangalia mpira upo nje ya nyavu aisee De gea ni hatari.View attachment 705741
Kila siku najua de gea anatania aisee kumbe huyu jamaa yupo serious hafanyi masihara hii ngoma noma sana ilikuwa inajaa bonge LA kipa..
Kwangu Mimi napinga. Hiyo ni hela ndogo na anachokifanya uwanjani. Wamuongezee zaidi ya hapo
Sanchez ndo analipwa zaidi kuliko mchezaji yeyote pale utd..anavuta 350kKwa sasa anayelipwa zaidi ni Pogba pound 200,000 kwa wiki. Hivyo de Gea akipewa hizo pound 300K kwa wiki ndiye atakuwa analipwa kiasi kikubwa kuliko mchezaji yeyote pale Man U.
Nani anatakiwa awe kocha mbadala?Kila siku nasema Mou ni Tatizo kubwa Man U mnapinga kisa kamfunga Chelsea Juzi sina imani na Mou na hata matokeo ya hivi asilimia kubwa yanachangiwa na uwepo wake.
Lazima tukubali muda wake kama mkufunzi wa soka umeisha, Siku akitoka Mou nitaanza kuona Man U mpya.
Sanchez ndo analipwa zaidi kuliko mchezaji yeyote pale utd..anavuta 350k
Kwa nini Klopp asifanye kweli hapohapo liverpool kwanza?Man U tungempata kocha kama Klopp tungekuwa mbali sana. Huyu Jose wala simkubali kabisa
Ningekuwa kocha ningempa £500.000.Kuna taarifa kuwa de Gea atakuwa analipwa pound 300,000 kwa wiki
Kwakuwa wewe humkubali ndo aje Klopp?Man U tungempata kocha kama Klopp tungekuwa mbali sana. Huyu Jose wala simkubali kabisa
Bogba 290 ,000Kwa sasa anayelipwa zaidi ni Pogba pound 200,000 kwa wiki. Hivyo de Gea akipewa hizo pound 300K kwa wiki ndiye atakuwa analipwa kiasi kikubwa kuliko mchezaji yeyote pale Man U.
Bogba 290 ,000Kwa sasa anayelipwa zaidi ni Pogba pound 200,000 kwa wiki. Hivyo de Gea akipewa hizo pound 300K kwa wiki ndiye atakuwa analipwa kiasi kikubwa kuliko mchezaji yeyote pale Man U.
Swali zuri sana akikujibu nitag mkuuNani anatakiwa awe kocha mbadala?
Yaan mara nyingi jamaa huwa anafurahia magoli ya wenzake kuliko yakeAmefurahi kama kafunga yeye vile!! Napenda sana kumwona mchezaji ana passion na timu na sio tuu pale kwenye mafanikio yake binafsi
Mi mwenyewe huwa sion sababu ya Ashley kuanza wakat Luke yupo fiti, but ngoja tumuachie kocha ye ndo mwamuzi.Ila mimi bado sioni sababu za Mou kumuweka bench Shaw,labda kama Young ni shemeji yake.