Wote ni hivyo hivyo lakini sio mbaya kujumuika siku za furaha. Uzi wetu huu leo huwaoni wapinzani ila wachache walio tutakia kheir ndio tunajimwaga nao hapa.
Jukwaa hili wengi wasahau timu ilikuwa chini ya kocha wa muda mrefu kubadili style ya mpira sio kazi ndogo naiman sana mourinho tutafika tu yes ni kweli tunacheza mpira mbaya bado tunatafuta quality player.
Ni kawaida ya mashabiki wa Man Utd. Eti Lukaku anavyocheza na timu ndogo. Ingekua timu ndogo ungepaki basi.? Mengine ngekewa tu mchezaji mmoja ndio anaibeba timu na ukubali ukatae huna kocha.
Mechi 15 zilizopita Chelsea Vs Man U umeshinda 2 nimekufunga 8 draw 5.
Ni kawaida ya mashabiki wa Man Utd. Eti Lukaku anavyocheza na timu ndogo. Ingekua timu ndogo ungepaki basi.? Mengine ngekewa tu mchezaji mmoja ndio anaibeba timu na ukubali ukatae huna kocha.
Mechi 15 zilizopita Chelsea Vs Man U umeshinda 2 nimekufunga 8 draw 5.