Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wako wapi sahivi hao ihenacho ,Nolito , na Navas?
 
Hadi wewe united ulimfunga?
 
Wako wapi sahivi hao ihenacho ,Nolito , na Navas?
Na hii ni moja kati ya tofauti kubwa iliyopo saizi kati ya Manchester city na United. City mchezaji aki flop anaondolewa lakini United mchezaji akiflop ana badilishiwa namba (young, Valencia) huku wengine wakiendelea kung'ang'aniwa na kutuaminisha ipo siku watakuja kuwa vzr, jones, smalling, blind, darmian, Lingard just to mention a few.
 
Mwambieni jamaa yenu aondoe hiyo mizigo hapo otherwise kila siku mtaishia kulalamika
 
Worried out mkuu nimesharudi kwetu
 
young&Valencia,Jones smalling, lingard
hakuna timu katika top 6 wanapata no first eleven kocha anaejielewa hawez kuendelea kuwaamini hao players
 
Umeongea point kubwa sana mkuu,timu sijui ina tatzo gan.michezaj inaonekana kabsa haipo vzur lakin haiuzwi kwa wakati kama wanavyofanya wenzetu
 
Kipindi Hicho man city anapigania top four Manchester united alikuwa anapigania Nafasi ipi?
 
Sterling aliflop Leo ?????



Hivi unaelewa Kuwa Fabian Delph ambaye kwa sasa ni beki Wa kushoto Wa man city alikuwa ni kiungo hatari sana ????


Unataka kusema Valencia hana kiwango cha kucheza namba mbili???


Haya nakubaliana na wewe Ashley Young ni mbovu, ni mechi ngapi Mourinho anampiga benchi beki asilia Wa kushoto ( Luke shaw)


Nakubaliana na wewe Smalling ni mbovu ila ni mechi ngapi Marcos Rojo anapigwa benchi akiwa mzima kabisa???


Mpaka hapo tatizo ni Mwalimu sio wachezaji.
 
Hyo siyo sababu kubwa sana kwa sababu wote wamefanya addition za kutosha tena kwa kiasi kikubwa walizipata targeted signings zao. Ila angalia City ilivyobadilika ndugu wakati sisi tunacheza mpira mbovu sana. Haijalishi Mou aondoke au asiondoke kikubwa ni timu ibadilike kiuchezaji,tusiendelee kucheza karibia kila game kwa kuviziavizia
 
Kweli kabisa mkuu
 
Fabian delph hakuflop kwenye midfield role kama ilivyo kwa Valencia, Valencia na young walinunuliwa kuwa wabadala wa Giggs na Ronaldo kama ma winger, lakini HAKUNA aliye fanikiwa kwenye hiyo nafasi, Valencia alianza kuchezeshwa kama full back baada ya akina Darmian, blind kushindwa ku cover vema hiyo nafasi.

Luke shaw nae hana consistency ya kiwango chake, kuna mechi anakua vizuri na kuna mechi anakua hovyo, hadi sasa ni msimu wake wa nne na kacheza mechi takribani 60, wastani wa mechi 14 kama sio 16 kwa msimu labda tujiulize hizo mechi zingine (league + FA cup + uefa/europa na carabao cup) pindi ye akiwa majeruhi au out of form nani ana cover? Je tuna natural left back mwingine ukiachana na shaw?

Smalling na Jones wana miaka zaidi ya saba pale Manchester lakini ni wachezaji ambao hata west brome nina wasiwasi kama wanaweza kupata namba. Je miaka yote hiyo ni mourinho alikua ana wakumbatia? Sikatai mourinho ana makosa yake mengi tu lakini embu tujaribu kuangalia behind the scene, tatizo la Manchester ni zaidi ya mourinho. Ni wachache wanaoweza kunielewa na maanisha nini, tatizo letu mashabiki huwa tunaangalia kile kinachotokea uwanjani tu, tuifunge watford, arsenal na chelsea ili tushangilie then tusahau, lakini kama kweli tunataka tushindane na the so called giants kama Barcelona, madrid, man city (lol) , bayern na hata PSG basi kuna takiwa kuwe na mabadiliko makubwa sana si uwanjani tu hadi nje ya uwanja.
 
leo ngoja nikuulize, wewe huwa ni mwadizi wa hbr? i.e carrier yako ni uandishi?

maana maandishi yako huwa ni ya mulengo huo.

.....hongera.....
 
None of Romelu Lukaku's 12 Premier League goals this season have come against teams currently in the top eight.

In games vs top eight sides, he's played 900 minutes and attempted 17 shots without scoring.
 
Fact.
 
None of Romelu Lukaku's 12 Premier League goals this season have come against teams currently in the top eight.

In games vs top eight sides, he's played 900 minutes and attempted 17 shots without scoring.

Bado upande wa ushambuliz ni tatizo hata kama kocha anapak bus inatakiwa mshambuliz awe kama willian alivyocheza gem ya barca
 
None of Romelu Lukaku's 12 Premier League goals this season have come against teams currently in the top eight.

In games vs top eight sides, he's played 900 minutes and attempted 17 shots without scoring.
Love these obsessions smaller, trophy dodging clubs like Liverpool have with united when we are not even playing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…