Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbe ukiwa ugenini inabidi ucheze kwa nidhamu ya kiuoga ???

Mbona man city alipokuja old Trafford hakucheza kwa nidhamu kama kwa kuiogopa Manchester united ?? Je, unakubali Guardiola ni master mind ????


Na mbona Tottenham mechi ya kwanza old Trafford hakucheza kwa hiyo nidhamu unayoisema wewe ila alituzidi kwa kila takwimu ??? Angalia takwimu nimekuwekea hapo chini vs man city na Tottenham pale old Trafford , kwanini hatukuwafanya wawe waoga na tuwazidi kiwango kama wao wanavyotufanya tupack bus tukiend ETIHAD STADIUM AU WEMBLEY. Jibu ni Moja tu Mbinu za kocha Wetu hazifanyi kazi vs Timu kubwa haijalishi ni uwanja upi.

Kubali kataa Manchester united vs timu kubwa iwe old Trafford au away kipindi hiki Cha mourinho tumekuwa na poor performance.



Halafu mbona tukiwa ugenini na Nyumbani vs timu ndogo tunakuwa na statistics nzuri , vipi kwenye team kubwa ?


Ndio maana nakwambia mourinho hana uwezo na mbinu za kupambana na tittle contenders wenzake ( Arsenal, Liverpool,mancity, Chelsea au Tottenham)



Nakuwekea picha hapa chini uone kiwango cha Manchester united vs timu kubwa akiwa old Trafford au away na kiwango chake vs ndogo akiwa old Trafford au away.


Kama usipoelewa ninachomaanisha basi Mfumo wa elimu yetu unahitaji mapinduzi makubwa sana.


GGMU
 
Kiukweli nidhamu ya Man U inapocheza na big fish wenzake imevuka mipaka. Tumekuwa tukitumia approach za kuogopa hizo game zote tukiwa nyumbani na ugenini pia. Na hapo ndo panapochukiza
Halafu linakuja "lijitu" linasema eti ni mbinu za kucheza na team kubwa...

Nimeliwekea mpaka snap shot kuonesha kiwango cha team yetu dhidi ya team kubwa na vs team ndogo.



Tukubali tukatae Team yetu chini ya Mourinho haina "Guts" ya kupambana na team kubwa... Cheki kiwango chetu dhidi ya Madrid kwenye super cup.. Halafu angalia Madrid alivyonyooshwa na Tottenham.
 
Naendelea kukufunza soka giggs kiasili ni namba 11 hivi unajua baadhi ya mechi alichezeshwa namba 8? Bado nakuhurumia na kukupa pole tunawechezaji wa kawaida ila mnawakuza mchezaj anacheza ili mradi tu sio wapiganaji
Radika umeongea point ya maana sana japo mourinho anazinguwa pia
 
Van gal vp mbona na yeye walimshinda?
 
We jamaa nakushangaa sana hivi unafikir ukitumia matusi au lugha za kuuzi utabadilisha mambo? Jikite kuongea kila unachokiamini lugha za hovyo hazibadilli kitu mi ntaendelea kuwafunza madogo mnaojaa upepo natoboa tu maputo tyuuuu tukana unavyoweza ila wanaoona kocha anafaa wamempa kandarasi mpya hii ina maana wamepima maeneo mbalimbali hadi kapewa mkataba
 
Radika umeongea point ya maana sana japo mourinho anazinguwa pia
Mi sijakataa mkuu kuna muda anazingua kweli ila tuangalie hata timu yetu je wachezaj wanapambambana vya kutosha sasa kama jonjo anampoteza pogba utasema mourinho? Herrera si mkabaj kazi umeona toka kocha ampe majukum mapya hawa kwa nn?
 
Mi sijakataa mkuu kuna muda anazingua kweli ila tuangalie hata timu yetu je wachezaj wanapambambana vya kutosha sasa kama jonjo anampoteza pogba utasema mourinho? Herrera si mkabaj kazi umeona toka kocha ampe majukum mapya hawa kwa nn?
 
Paul Pogba will miss today's @EmiratesFACup tie at Huddersfield due to illness. U23s midfielder Ethan Hamilton has taken his place in the squad. [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]

manutd.co/Ku8
 
Van gal vp mbona na yeye walimshinda?
Shida kubwa ya Van gal ni kwamba in kama aliiua ile falsafa ya Manchester united ambayo Mara zote mashabiki pale OT huwa wana chant "Attack! Attack! Attack! Kwa hyo na yeye Ali misuse wachezaji pia. Alikuwa na wachezaji ambao wangeweza kushambulia ila yeye aliegemea kwenye possession football zaidi kuliko kushambulia zaidi. Na hata sasa ukiangalia kilio kikubwa cha washabiki Wa hii timu wanaolalamika ni timu kutoshambulia sana. Timu inakaa sana nyuma na kushambulia kwa kuvizia zaidi karibia kwa kila game,manake hata kwa baadhi ya timu ndogo tunapozitangulia kwa magoli huwa tuna paki basi.
 
You're such a tank thinker and Charismatic fella...


Unajua
 
Mi sijakataa mkuu kuna muda anazingua kweli ila tuangalie hata timu yetu je wachezaj wanapambambana vya kutosha sasa kama jonjo anampoteza pogba utasema mourinho? Herrera si mkabaj kazi umeona toka kocha ampe majukum mapya hawa kwa nn?
Hivi we jamaa unasimamia nini has a? Kuna kipindi Scholes alilalamika sana juu ya msaada Wa pogba ktk timu hasa mechi kubwa na ngumu,Mou akasema pogba yuko poa tu ila Scholes anamsema pogba sababu ya wivu alionao juu ya pesa nyingi anayopata pogba pale man u. Baada ya kusema hivo ulimsapoti asilimia mia Mourinho, na Leo unam criticise pogba kwa nini!?
 
Mkuu unatumia Hydrogen Bombs na Missiles za North Korea kuua sisimizi.... Hoja zako ni heavy huyo jamaa hana ubavu wa kuzipunch


Huyo huwa hajielewi kabisa huwa nafuatilia hoja zake humu ni very Light..


Hiyo issue ya scholes kumsema Pogba huyu Radika alimponda sana eti scholes anaongea sana kama anaona ukocha ni mrahisi atafute team aifundishe.


Ila Leo anakuja na hoja zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…