Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mchezaji hatari sana ambaye hajapata viungo wa kumlisha pale man utd chukulia picha angekuwa yupo city viungo kama debluine na sane
jamaa angeng'ara sana!!!!
 
Hivi nani anamkalisha bench Herrera?

Mkuu hata mimi huwa najiuliza nakosa majibu. Yaani kwa sababu ambazo hatuwekwi wazi ghafla herrera amekuwa mchezaji wa qarabao na fa tu.
Binafsi huwa namuona herrera kama mbadala mzuri kucheza kando ya matic (sijamuongelea PP) maana ana uwezo wa kuichezesha timu haraka kuelekea mbele. Lakini leo hii McTomminay anamsubirisha herrera nje,unacheza na newcastle unatumia viungo wawili wagumu kama sio kukaribisha mashambulizi ni nini?
Mou aache wachezaji wawe huru kufurahia mpira sasa,ubingwa ushakuwa historia kwa msimu huu. Walau tufurahie hata burudani pekee kama makombe yameshindikana (kama alivyoamua wenger)
 
Ander Herrera ni majeruhi kwa sasa aliumia baada ya game ya Spurs na huenda hata game against Sevilla akaikosa
 
Man City wamepata nafasi 4 wamefunga magoli 3 while United inaweza ikapata hata nafasi 5 na isipate goli hata moja
 
Mou naona kama anazingua vibaya sana. Timu ina wachezaji wazuri tu, tatizo ni yeye.
 
Man City wamepata nafasi 4 wamefunga magoli 3 while United inaweza ikapata hata nafasi 5 na isipate goli hata moja
Kipindi cha kwanza Nafasi 4 , Manchester united dakika 90 Nafasi 5 .... Tena wakiwa ugenini zitakuwa Si tano ni tatu au mbili ,


Nafasi nyingi ni probability ya kupata magoli, Manchester united Nafasi ila si nyingi Bali chache
 
Kipindi cha kwanza Nafasi 4 , Manchester united dakika 90 Nafasi 5 .... Tena wakiwa ugenini zitakuwa Si tano ni tatu au mbili ,


Nafasi nyingi ni probability ya kupata magoli, Manchester united Nafasi ila si nyingi Bali chache
City are more clinical infront of goal compared to United ndio maana wanamaliza mechi mapema
Kuna game zaidi ya 5 United wangeweza kumaliza mechi mapema kwa ushindi si chini ya magoli 2 wakakosa nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…