Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu,,
Kakipigo kameumiza sana haka,,

Mara mia mbili nifungwe na Kun, Kane, Messi, Neymar, Isco ila sio kna nani sjui...

Wengne tupo mbali na TV...

Ila basing on mitandao na outcome,,


Namba 1,2,3 hapo juu ndio mchawi mkubwa kwa timu...

Namheshimu Josee 'Special One' kama mwanadamu mwenye uthubutu,,
Nayaheshimu pia mafanikio yake,, ni kocha bora na wa kipekee sana

Ila,,, Zama zmempita,, bahati mbaya sana ypo ligi moja na Pep,,
Hata mzee Carlo kachemka Munchen si kwamba ni mmbaya ila ndio hivo mambo hayakwenda kama yalivotarajiwa,..

Ni aibu na fedheha kwa kocha kununua wachezaji kibao then wakushinde kuwatumia... Mkhi,, Double P wa juve ndie ambae tnamtaka,,, yle hata hyu mchawi mpya wa ligi angeonekqna cha mtoto,, Victor Linderleof,, plus the beast Lukaku..
Ingekua kwetu tungesema viongozi ndio wamewaleta hayakua mapendekezo ya Mwl.

Ni aibu Mata kuozea benchi,,
Ni aibu Herrera kukosa namba Man Utd kwa mpira wa sasa ulimwenguni..

Inaonekana hata Alexis ndoto za mataji ztampita mbali kwa mwendo huu..
Misimu miwili no First Eleven???

16 pts gape bado tunasema amebadili mambo mengi?? Na tmu ina ushindani??
Lets assume Spurs,, Liver,, Chel, na Asenal wangekua katika best form.. Tungekuwa wap kwa sasa??

NB: Wakuu Namheshimu sana JM kama mwanadamu mpambanaji asieogopa changamoto,,,
Nayaheshimu sana mafanikio yake..
Simaanishi ni kocha mbaya
Ila huenda hana bahati Manchester United
Moja ya kazi za ndoto yake...


[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Ndugu zanguni haina maana ya kuanza kugombana,soka ni kujipanga na nina imani mwakani mtajipanga zaidi!
Team yenu haina quality ya kucheza CL mwakani kwa hiyo mtarudi tu kwenye Yuropa!
Week ijayo ndiyo rasmi mnatoka kwenye nafasi mkicheza na Chelsea na MAJOGOO yakiwa nyumbani na Newcastle
Nani sasa hayaogopi MAJOGOO?
 
Mkuu@makatheboy,upo sahihi kabisa mou ameshaishindwa timu maana anaenda msimu wa pili bila Kombe la ligi kuu na wachezaji kibao kasajili tena kwa hela nyingi,mou ni kocha mzr sana ila zama zake zaelekea ukingoni maana huwa anakaa msimu wa kwanza bila kombe ila msmu wa pili lazma achukue kombe,lakn kwa lugha nyepesi tunasema amechemka
 
Mpuuze huyo,anakupotezea muda bure, jibizana na akina Liverpool ambao ndiyo level zetu achana na hawa nguchiro.
 
Hakika Mkuu Teamanaconda JM n World Class Coach,..
Hilo halina mjadala ila asidhani kila mchezaji ana uwezo wa kina;
Makelele, Essien, Drogba, Pizzaro, Alex, Lampard
Chivu, Samuel Water, Cambiasso, Zanet, Lucio, Milto nw

Zama za kigumu zmepita,, Conte nae anapumlia mashine na mbinu zao za kujihami...

Kama hatabadilika hta akiwaleta kina Griez,, Dyabala nw bado hatutaenda kokote..

Rooney wiki iliopita kasema wazi,, City wapo mile na wanacheza vizuri hawakamatiki si tu msimu huu bali hata ujao..

Tayari wana Ikay,, Fernandinho na Fred

Otamend, Walker, Stones, Mendy, Aymeric pia

Kazi ya ziada inatakiwa...

Tunamtetea sana JM na tunapaswa pia kumuunga mkono kama mwanafamilia wa Manchester United...

Ila anakosea sana,, anaua mpira wa Pogba,,
Kamaliza uwezo wa Ander kwa mbinu za kujihami
Matic kachoka kwa kukaba peke ake kila siku
Lukaku kaonekana alkua bora na tishio akiwa Everton..

Bado utasema umefaulu???

Two seasons mwelekeo wa timu ni up and down..
Mfumo wa kujihami kila sku hatutafika popote zaidi tutakuwepo top 4 kwa juhudi sana..
 

Unaongea baada ya kuifunga academy yenu hilo gali la mkaa mnashinda mech moja mbili kichapo
 
Ndio maisha yenu munabid mzoeee
 
Mourinho hafai pale Manchester united mbinu zake ni za kuharibu wachezaji...


Game dhidi ya Huddersfield aliweka two holding midfielders( Matic na Tom).. Kuna mtu nilimueleza kama unajihami namna hii kwa kitimu kama hiki hizi ni dalili huyu kocha ni jipu. Game ya Jana the same ( Pogba Vs Matic ) dhidi ya Newcastle, hii ni aibu kwa team kama Manchester united kujihami kwa kiasi hiki.



Niseme Kitu sote ni mashabiki wa Manchester united na tunaipenda sana ila kwenye ukweli tuseme , kocha Wetu hana uwezo.
 
dogo ukiona live na kwenye picha ni vitu viwili tofaut ndo mana hakuna aliezungumzia huo mpira ulikuwa mgumu sana kama angepiga asingefunga ilikuwa lazima atulize na kupiga chenga alijikunja sana aliekosa goli la wazi ni martial
waangalie vizuri wasilete ushabiki
 
500 k ambazo zinatengezwa na club tajir kama pesa ipo kwa nn asipewe labda mawazo ya kimasikini ayo


Kwa ushauri tu Mourinho Asolve internal issue iliyopo Kwa Paul Pogba Kabla haijawa too late.

Siku Zote Rumors huwa zina kaukweli Fulani Ndani Yake! Media Mara kazaa zinariport kuwa Jamaa kafanya Jealous na £500K za Sanchizi Wakati alijiaminisha Kuwa Yeye atabakia Kuwa ni Main Man na Most Paid Kwa Muda wote atakao kaa Man U.. Lakini leo atokee Alexis from Nowhere awe Juu Yake!!!!..

Wakati Pesa zipo kama ulivyoclaim basi Mpeni £600K yeye ili asicheze chini ya Kiwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…