Acha uongo basi.. Kabla ya kufungwa leo match iliopita ilikuaje?Sanchez hajashinda mechi ya ligi toka mwaka jana hahahahhahahaha
Jamani huu ni ujirani mwema kama nyie mlivyoshinda kule kwetu kwa washika mtutu yalivyotufika nasisi mtupokee dah...mmetususia majamvi mweh......sisi tumekuja kushiriki mazishi tu hatujaja kulaWanasoma na kusepa, no comments!!
Ahahaaaaaaaaaaah..!kama kawaida naona umetoka kichakani sasa wiki nzima ulifunga kula na kunywa unamaisha ya shida ndege tunduni
Mech bado haijaanza na kuna barafu nazani mech imeahirishwa ila Newcastle kapewa 3pointsJamani mbona hamuweki updates za game ya leo?
Mechi gani mkuu? Hebu nieke sawa labda nimeghafirika ila najua mlipata kichapo cha mbwa mwizi na spurs kisha leo cha kuku au?Acha uongo basi.. Kabla ya kufungwa leo match iliopita ilikuaje?
Hapana spurs ilikuwa ktkat ya wiki ikaja Huddersfield.Mechi gani mkuu? Hebu nieke sawa labda nimeghafirika ila najua mlipata kichapo cha mbwa mwizi na spurs kisha leo cha kuku au?
Mech bado haijaanza na kuna barafu nazani mech imeahirishwa ila Newcastle kapewa 3points
Ni mmoja ya wachezaji wa kingereza ninaowakubali sanaMkuu Belo hivi Jonjo ni raia wa wapi yule?
Kwanza kwanini akomalie kucheza na viungo wawili wa ulinzi?Ntazidi kumlaumu mou kwa selection ya midfield. Sijui ni kipofu haoni huyu jamaa?
Alikuwa liver, gemu lilimkataa.Ni mmoja ya wachezaji wa kingereza ninaowakubali sana
Ok sawa na huddersfld hahahaha sorry wakuu tatizo furaha imepitilzaAcha uongo basi.. Kabla ya kufungwa leo match iliopita ilikuaje?
Ahahaaaaaaaaaaah..!
Wewe tema PUMBA tu...
Lakini as long as niko na MB za kutosha+muda,Manure United akipoteza mechi lazima unione humu..!
No leo cha nguruweMechi gani mkuu? Hebu nieke sawa labda nimeghafirika ila najua mlipata kichapo cha mbwa mwizi na spurs kisha leo cha kuku au?
Lukaku ameshindwa kuwa agressive kabisa, hana control nzuri pia hakai kwenye nafasi yake.
Jingine mouh aanze kuchezesha viungo watatu ili Pogba akacheze juu. Na suala la Jesse ni muda wa kumpisha Mata sasa.
Smalling ovyo hana confidence na hana defensive skills za mipira ya juu.