Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi PUMBA zote ulizoandika hazina maana...
Jambo la msingi ni "usimfananishe Kelvin De Bruyne na upuuzi"
 
Mlimtukuza sana amejiona ni mchezaj wa kiwango cha juu. Ona goal tunavyofungwa unamuacha mchezaji wa upinzani anaruka juu bila ya kumkaba .
Goal hilo lilikuwa na makosa mengi sana. Kwanza stupid foul by Smalling,pili wachezaji wote wanafuata mpira bila kuangalia wanamkaba nani, tatu Valencia aliamua kusimama tu na kuangalia movie.
 
Goal hilo lilikuwa na makosa mengi sana. Kwanza stupid foul by Smalling,pili wachezaji wote wanafuata mpira bila kuangalia wanamkaba nani, tatu Valencia aliamua kusimama tu na kuangalia movie.
Lakini muangalie Pogba yule anayepiga kichwa anavyomuachia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…