Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Kukaku ndio nani?Kukaku
Kukaku ndio nani?Kukaku
Ni nani aliesababisha penalti?
Eric Lamella for diving and cheating referee, and Mr. Smart a lines man ambaye hakuwa na uhakika kuwa what exactly happened.
OVA.
Mkuu inaumiza kiasiKatoeni pole ila msiwe na maneno makali mjue namna ya kuwafariji katika kipindi hiki kigumu.






Katoeni pole ila msiwe na maneno makali mjue namna ya kuwafariji katika kipindi hiki kigumu.
Ulikuwa ni udhalilishwaji uleWanapambana na hali zao.
Walikuwa wanatoa adhabu bila shaka mateso bila chukiMkuu inaumiza kiasi
No kama SKU Leicester anatoka nyuma na kushinda 5-3
Nmetoa pole ila kwa kuwa ni wale natamani ingeongezeka....![]()
maisha yanaenda lakiniGenge la wahuni hili.
maisha yanaenda lakini
Hivi umepotea, hali ya hewa inakusumbua umekusudia ,unataka kuwa maarufu kwa mambo ya kijinga au basi tu huna cha kufanya na bando lako !!!?Mamaesta Urinated.
Povu hili, manure urinated mashabiki wake wengi ni watu wa hovyo hovyo.Hivi umepotea, hali ya hewa inakusumbua umekusudia ,unataka kuwa maarufu kwa mambo ya kijinga au basi tu huna cha kufanya na bando lako !!!?
Wenzako wengi sana wanakuja huku kwa style hiyo hiyo, kama ni kiki rudi kajipange au vamia uzi mwingine wa wakolomije na magurugujo.
Unajisikia vizuri sasa hv !?Povu hili, manure urinated mashabiki wake wengi ni watu wa hovyo hovyo.