Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sanchez akikutana na timu kubwa atacheza fullback namba tatu kama young tu
Ni majukumu pia rooney zile goli zaidi ya 250 hakuzifunga akiwa namba 9 au 10 tena chini ya alex ferguson ila ukikuta mchezaj hatal kukaba au kusaidia sehem fulan jua hatambui majukum yake tunataka mchezaj alietimia siku tukikosa mabek wameumia acheze de gea?
 

Kati ya vijana waliopandishwa na hii timu nahisi huyu anaweza kufanikiwa mtulivu mno naona kaandaliwa kuja kuwa kiungo cha ukabaji sikumuona akihama lile eneo lake ni suala la nguvu tu kwa sasa ila tukimpanga na wakina burnley maumivu.
 
Wanakariri ule mfumo wa zamani namba tisa anaagiza tu kama yupo hotelini. Mpira umebadilika waona lindgard anavyopata nafasi sababu anamuelewa kocha kwangu mimi naona tumepata mrithi wa ji sung park namna lindgard anavyojituma
 
Wanakariri ule mfumo wa zamani namba tisa anaagiza tu kama yupo hotelini. Mpira umebadilika waona lindgard anavyopata nafasi sababu anamuelewa kocha kwangu mimi naona tumepata mrithi wa ji sung park namna lindgard anavyojituma
Lingard anazidi kuimarika mkuu hilo halina ubish bado nguvu tu na maamuzi ya ukomavu kwenye suala la kuasidia kukaba yupo vizur sana
 
Nimekusoma mkuu..!
 
😀 😀 😀 Sometime Yes Sometime no
Hongereni Plastic Fans kwa Leo kuonesha Positive Comments tupu Unlike Last Game.
Leo Naona Sijaona Comment ya "Mourinho Si Kocha".
Angewaanzisha young na fellaini tungeponda tu...tumeshinda ila mpira hauvutii kabisa...kiukweli co kocha hatuna...
 
Naona id mpya leo hazitumiki zimefichwa subir tufungwe zinachungulia na kurudi.


Na Ndiyomana Ninawashangaa Sana Kuona pale Munapopoteza Muda Kubishana na [HASHTAG]#PlasticFans[/HASHTAG]!!
Timu ikishinda Wanazama kwenye Dampo...! Lakini ikifungwa au ikidraw tu Wanaibuka kama Panya Rodi.
 
Angewaanzisha young na fellaini tungeponda tu...tumeshinda ila mpira hauvutii kabisa...kiukweli co kocha hatuna...

Mkuu hivi takwimu zikiwa hivyo unakuwa umecheza mpira mbovu?


Kitu ambacho jana nilikigundua hatukua makin ktk umaliziaji tu angalia sanchez na mata walivyofanya vizur kule mbele kwa kutafutana kwa pasi nzur
Kama de gea alikuwa anasoma gazet kwamba tulikuwa tunacheza vibaya?
 
Angewaanzisha young na fellaini tungeponda tu...tumeshinda ila mpira hauvutii kabisa...kiukweli co kocha hatuna...
Leo hata angeanza nani ilikuwa ni kushinda tu..hii timu ilikuwa kibonde sana. Suala la Young/Pogba sio la kulinganisha na mechi hii (iweje mtihani mgumu i.e Totenham umpe Pogba na Young halafu mtihani rahisi umpe mcTominay na Shaw) kwanza leo Young angeanza magoli yangekuwa mengi, huyo Shaw sikumbuki/sijaona akipanda na kupiga hata krosi moja kwa Lukaku. Pamoja na ugumu wa Totenham juzi Young alipiga krosi ingawa si nyingi.
 
Lingard anazidi kuimarika mkuu hilo halina ubish bado nguvu tu na maamuzi ya ukomavu kwenye suala la kuasidia kukaba yupo vizur sana
Kijana anajituma sana na hana makuu ila linapokuja suala la Rashford wakiwa wote uwanjani Rashford akizinguliwa na kuzozana na mchezaji wa timu pinzani hapo lindgard huenda kutoa kibesi huwa burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…