Kwa jinsi martial alivyokua anaremba ndani ya 18, selfish ya rashford na kubana kwa pogba. Zote hizo zilikua open chances za kiscore....hapo analaumiwa Mou kivipi?
Mkumbuke hata na yeye anaumia kama nyie mashabiki, akiwa mkali ohooo anaua vipaji (maniner) mnataka aingie uwanjani kuwashika makalio ndio wafunge??