Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli mkuu hata mimi sijafurahi na jamaa kuondoka hivyo ni bora angepewa choice hata ya kurudi ujerumani lakini ndo hivyo angebaki angekaa benchi sana maana Mou hamuamini tena.
 
United team yenye laana kuu bunrel njooni mpige hawa mbwa Leo wachomekeeni kabisa kitu kunako makalio ya mourinho
 
Miki nenda arsenal mahitaj ya team na kocha na aina ya Mpira wako haviendan
Nenda arsenal wanacheza mpira wako nenda kaonyeshe ubora wako huko
Njoo Sanchez arsenal ulikua simba kwenye kundi la swala
Njoo Manchester ukutane na wapambaj wenzio kuanzia mashabik kocha mpka wachezaj
Hakuna wa kupoteza kila Team imeshinda hili kutokana na mahtaj yake
 
Mkuu umeongea ya maana sana
 
Wachezaji wote muhimu.Simkubali Mou,lakini tumuache afanye kazi yake.Mou amekuja kurudisha heshima yetu iliyoanza kusuasua mikononi mwa Moyes.
Van Gaal hakupewa muda wa kutosha.
 
Tatizo lake akifikia rekodi fulani, ataamsha dude ili alinde rekodi yake na akaanze maisha mapya sehemu nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…