Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


if you can't beat them, join them


Jamaa anautendea haki huo msemo mashabik wengi wa arsenal walihamia city na watazid tu kwa mwendo huo wa wenger.
Arsenal ina fans wengi kuliko manure.. Sema wapo silent kwa sasa....
Ipo siku utawaona wote....
 
Ya ni kweli mnamashabik wengi hilo halina ubish cha ajabu club chenu 3 bora ya vilabu tajir hampo sijui mashabik gani wasio na faida hao.
Nyie mnabebwa na madeni...sisi hatuna madeni...mlipe madeni ya watu...mtauza mpaka old trafford
 
Ww hujaelewa au unakaza tu ubio... Refa alimrule offside Mara Tisa tena kaingia kutokea sub dadeki!!!!
Mi nimeelewa kumbuka umesema alikuwa akifunga goli za offside nimekuuliza kwa hiyo ktk hizo offside tisa alifunga zote goli?

Kama hakufunga kuna tatizo au kama alifunga ni tatizo la chichato?

Roberto umewah kucheza mpira?
 
Kwan tulishakutana fainali ,we vepee!!!! Nilimpiga fa,nikaingia fainali na Chelsea, nikabeba ndoo..
Una jingine????
Mourinho kishafanya hivyo kamchomoa nusu fainali ya uefa kombe kubwa achana na hako ka fa pia ktk lig kamkimbiza kwa point na magoli spain
 
Mi nimeelewa kumbuka umesema alikuwa akifunga goli za offside nimekuuliza kwa hiyo ktk hizo offside tisa alifunga zote goli?

Kama hakufunga kuna tatizo au kama alifunga ni tatizo la chichato?

Roberto umewah kucheza mpira?
Ndiyo mm ni mchezaji...
Mchezaji wa hivi hana nidhamu ya mchezo ndo maana alikuwa anaanzia benchi japo alikuwa hacheki na makipa...
 
Ndiyo mm ni mchezaji...
Mchezaji wa hivi hana nidhamu ya mchezo ndo maana alikuwa anaanzia benchi japo alikuwa hacheki na makipa...

Mchezaji huwa offside kipindi gani na kipi hupelekea kuwa offside?
 
Unakopa hela inakuwa yako...,kwan inakuwa ya mwingine?? Kalipeni madeni kwanza tujue jeuri yenu...

Kwa nn kinatajwa club chenye thaman kubwa duniani pamoja na madeni? Na kwa nn kinakopesheka? Kwa nini sio arsenal ambacho hakidaiwi?
 
Mourinho kishafanya hivyo kamchomoa nusu fainali ya uefa kombe kubwa achana na hako ka fa pia ktk lig kamkimbiza kwa point na magoli spain
Alichukua la liga mara moja tu mbele ya pep....pep alichukua mara ngapi mbele yake????
 
Back
Top Bottom