Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mapundit wanasema kikosi hiki cha Man city ndio best ever team kwenye historia ya EPL, mimi nakosa hata point za kukataa.
Naomba mimi niwe wa mwisho kukubaliana nao,

City wanacheza mpira mzuri mno, no doubt, but to be the best you have to win trophies.

They still have a long way to go to prove kama ndio best team ever.
 
mapundit wanasema kikosi hiki cha Man city ndio best ever team kwenye historia ya EPL, mimi nakosa hata point za kukataa.


Kwamimi Naipa Credit Hata Chelsea ya 2004/05 Kuwa ilikuwa Ni Best team Kuliko Man City hii lakini Pia Kati ya Hivi Vikosi Viwili Sijaona Kikosi Bora Cha Wakati Wote.
 
Kwamimi Naipa Credit Hata Chelsea ya 2004/05 Kuwa ilikuwa Ni Best team Kuliko Man City hii lakini Pia Kati ya Hivi Vikosi Viwili Sijaona Kikosi Bora Cha Wakati Wote.
Kama watamaliza msimu wa EPL bila kupoteza hata game mmoja na couple of draws hapo itabidi ukubali tu ,ila mimi naamini city watapoteza few matches along the way japokuwa sioni kama watapoteza ubingwa
 
Pigeni kelele tu kombe la EPL mtalisikia tu kwa wezenu na wachezaji wenu wa 100 paund
 
Ninyi wachovu curve inashuka hivyo mnahesabu?????
Zimebaki ngapi unajua?? Ss tunakula na ninyi sahani moja
Bado next match timu zishawajulia,muwe home or away
Sitegemei ka mtachenji,draw or lose for now
Let's see
 
Ninyi wachovu curve inashuka hivyo mnahesabu?????
Zimebaki ngapi unajua?? Ss tunakula na ninyi sahani moja
Bado next match timu zishawajulia,muwe home or away
Sitegemei ka mtachenji,draw or lose for now
Let's see
Arsenal hawanaga akili za kupambania ubingwa unapambana na mtu ambae haongoz ligi wenger kiboko kawabadilisha mentality ya ubingwa had mnapigania nafas ya 4 na ya 2
 
Callum Gribbin, RoShaun Williams, Angel Gomes, Matthew Olosunde, Demetri Mitchell and Joshua Bohui pictured training with the first-team.

 

Mkuu huyo unapoteza nae muda ukikuta mtu anatumia lugha za ajabu yafaa kumuacha unajishushia heshima yako tu sisi tunampuuza bado anajilazimisha kuja tu hapa
 
Hao ni kati ya wale watu waliopigwa ban au timu zao hazifanyi vizur wameamua kufungua id mpya kwa ajili ya kutukana wengine kuweni nae makini sana huyo hiyo id ya mtu aliekata tamaa mtu timamu kichwani anawaza vitu safi hawazi matusi tu ktk ubongo wake kama yupo kijana wa aina hiyo huyo kwisha habar yake au bado analelewa hajui lugha za kuwasiliana na vijana wenzie.
 
Ninyi wachovu curve inashuka hivyo mnahesabu?????
Zimebaki ngapi unajua?? Ss tunakula na ninyi sahani moja
Bado next match timu zishawajulia,muwe home or away
Sitegemei ka mtachenji,draw or lose for now
Let's see
You guy must have been born before shame was discovered, upo korongoni huko nafasi ya sita still bado unapata ujasiri wa ku troll timu inayoshika nafasi ya pili!

Only people born with chromosomal disorders can do that, am sure you are one of them.
 
You guy must have been born before shame was discovered, upo korongoni huko nafasi ya sita still bado unapata ujasiri wa ku troll timu inayoshika nafasi ya pili!

Only people born with chromosomal disorders can do that, am sure you are one of them.
Pole ka unaangaliA position
UnajuA pamoja na upili wako unaniacha pointi ngapi?
Gemu mbili tu nakukamata
Man u kuweni tayari kwa lolote
Kisha pambaneni na hali zenu
 
Tetesi
MAN UNITED YACHUANA NA REAL KUMPATA HAZARD


Manchester United wamejipanga kupigana vikumbo na Real Madrid kwa ajiliya saini ya Eden Hazard, kwa mujibu wa Sun .
Hazard na bosi wa United wamefanya kazi pamoja wakiwa Chelsea, na kufanikiwa kunyanyua taji la Ligi Kuu msimu wa 2014-15.
Na gazeti hilo limedai kuwa United watatoa dau la paundi milioni 90 kwa ajili ya mchezaji huyo msimu ujao.
 
Tetesi
MAN UTD YAJIPANGA KUMSAJILI PULISIC


Manchester United imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumwania kiungo wa Borussia Dortmund Christian Pulisic, kwa mujibu wa Daily Mail .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…