Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mbape angeenda man u kiwango chake kingeshuka
 
Nashangaa timu kama MUFC imekuja kuwa ya wazee kuja kumalizia soka lao..
Bila shaka utakuwa ulikuja MUFC na Moyes kama sio LVG, maana kama ungalikuwa ulikuwapo enzi za Fergie sidhani kama ungeona kitu cha ajabu. Refer Michael Owen, Larsson, RVP na wengine wengi tu.
 
Bila shaka utakuwa ulikuja MUFC na Moyes kama sio LVG, maana kama ungalikuwa ulikuwapo enzi za Fergie sidhani kama ungeona kitu cha ajabu. Refer Michael Owen, Larsson, RVP na wengine wengi tu.
Mara nyingi huwa nawashangaa pia mashabiki wa aina yako wanaojiona walizaliwa na timu wanazozishabikia..

Mkuu, tufanye nilianza kuishabikia UNITED juzi baada ya ujio wa Mou!

Umemzungumzia Owen(30) Larsson(35) ambaye hata sijui aliifungia united goli ngapi kwa muda wake mfupi alioichezea..

Ajabu la mwisho ni kuniwekea RVP katika hiyo list yako, hivi RVP wakati anatua OT akiwa na 29yrs alikuwa amekwisha? Hivi RVP ndo unataka kusema alikuwa sawa na Ibra huyu anacheza hataki hata kuanguka? Kujituma sifuri kabisa..

Halafu nikizungumzia "kumalizia soka" namaanisha hakuna kitu tena, ni tia maji tia maji!
 

RVP kacheza misimu mingapi united kabla ya kuonekana gharasa na babu hatimaye kuuzwa?
Ibra hadi sasa ana misimu mingapi united???
 
RVP kacheza misimu mingapi united kabla ya kuonekana gharasa na babu hatimaye kuuzwa?
Ibra hadi sasa ana misimu mingapi united???
Kwa hiki ulichoandika hapa hata sijui kama ulielewa mantiki ya mchango wangu..

Unaposema "kabla ya kuonekana" unamaanisha alikuja akiwa moto wa kuotea mbali, tofauti kabisa na alivyokuja Ibra ambaye kimsingi hadi sasa kinachomuweka pale OT ni kocha kupenda miili mikubwa lakini kuzungumzia kiwango kwa sasa ni sifuri na wala huwezi kumtegemea kama mshambuliaji wa akiba!
 

Ingawa ni ngumu kukuelewa, lakini nakuelewa hivo hivo. Hiki ulichoandika saa hizi mantiki yake ni tofauti na ulichoandika mwanzo.

Nashangaa timu kama MUFC imekuja kuwa ya wazee kuja kumalizia soka lao..

Nafikiri hiki ndicho kilicholeta mjadala, sio hoja yako mpya hapo juu.
 
Ingawa ni ngumu kukuelewa, lakini nakuelewa hivo hivo. Hiki ulichoandika saa hizi mantiki yake ni tofauti na ulichoandika mwanzo.



Nafikiri hiki ndicho kilicholeta mjadala, sio hoja yako mpya hapo juu.
Hapo nafikiri umenielewa..

Tunaambiwa kwamba wakati Ibra anapanga kwenda MUFC Mou alimwambia kama anaenda United "kumalizia soka lake" asiende, ila kama anaenda kupambana ni sahihi..

Sasa sijui wewe "kumalizia soka" umeelewa vipi.
 
Hapo nafikiri umenielewa..

Tunaambiwa kwamba wakati Ibra anapanga kwenda MUFC Mou alimwambia kama anaenda United "kumalizia soka lake" asiende, ila kama anaenda kupambana ni sahihi..

Sasa sijui wewe "kumalizia soka" umeelewa vipi.

So kumbe Ibra hakuja United kumalizia soka lake, ila kupambana. Sasa why ulipost hiki kitu???
Nashangaa timu kama MUFC imekuja kuwa ya wazee kuja kumalizia soka lao..

Mkuu hueleweki, ila najitahidi kukuelewa ili nikueleweshe, tatizo zaidi ni kuwa u mbishi. Mambo kama haya yapo katika soka, kuna wanakuja kumalizia carreer zao (Hawa mara nyingi huwa ni kwasababu kama sio kibiashara basi ni influence anayoweza kui-induce kwa younger ones) na wapo wale wanaokuja kuanza carrier.
 
Ila sio kwa Ibra kuendelea kubaki pale,ilibidi awe na ule msimu mmoja tu aondoke.. ndio maana sijaelewa hadi leo ni kwanini Mou alimtoa Rooney kama anaendelea kukomaa na Ibra!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…