Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wenzangu wa Man United....haters washavamia jukwaa letu,Nawaasa,wakitukana msiwatukane huo ndio utaratibu wetu hapa!!
Njia ya kumshinda unayehisi amekutukana ni kujenga HOJA tu Kiongozi...
Ukifanikiwa katika hilo,unayehisi anakutukana ataondoka kimyakimya..!
 
Harsh reality!
 
 
Ahahaaaaaaaaaaah...
Majirani zetu wamelala Kiongozi...
Naamini wakiamka watakuja na majibu ya salamu zako..!
Hawajalala hawa timu zetu zikifungwa wanakesha makwetu hadi saa 12 asubuhi
Sa hivi nadhani wanaangalia 2 jinsi notifications ja jf zinavyoingia kwenye device zao
 
NAONA KITU KIMEWAINGIA VIZUR MNASKLIZIA KWA NDANI
POLEEN SANA MKIONA INAUMA CHOMOENI TU
 
Sasa kuna Mdau mmoja humu anakuambia kwa timu hii,Man Utd ana nafasi ya kuchukua UEFA na EPL...
Watu wanachekesha sana humu ndani..!
Kwa timu hii ya leo ya Mou haiwezi kuchukua kombe lolote, lakini kwa ile fast eleven ya Man U inachukua makombe yote hayo bila tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…