Mou's United ina rekodi nzuri tangu Sir Alex aondoke. Timu inayopaki BUS ndio ya pili kwa kufunga na points nyuma yaan City.....amazing.Toka aje mourinho kwa sasa mi mpira naangalia bila wasiwasi had muda huu tunarekod nzur sana na bado anaendelea kuitengeneza timu tunasahau namna timu yetu ilivyokuwa
PogbaDuh tunaongoza lakini team inacheza slow sana wachezaji awachangamki awana speed
Kuna muda wachezaji hawafit ktk mifumo yafaa aondoke kuokoa kipaji chakeHivi ni kocha gani aliyemuuza Alfred Zaha
We cheka tu....afu unapoteaga sana jamani, si vizuri ujueBaaasi roho ilikuwa juu juu hahaha
Hayo ni mawazo yako, na una uhuru wa kusema hivyo.Historia imebadilika. Zamani Mou alikuwa akipaki cjui basi ilikuwa shughuli kweli kweli kupenya, lakini sahz anapaki basi na watu wanatengeneza nafasi za wazi za kutosha na bado wanamshona na meli zake
Sawa nduguHayo ni mawazo yako, na una uhuru wa kusema hivyo.
Kabla ya ile mechi kuanza, niliandika humu tutakuwa outnumbered and outplayed in midfield and that what happened. Mechi iliofuata akamuweka mmoja bench na kumuongeza Mata tukashinda kama leo. Tofauti ni nini? Ni hivi Martial na Rashford wote wanacheza pembeni hivyo katikati anabaki Herera na Matic vs 3 or 4 opponent's midfielders, ila Mata akiwepo anaingia kati hivyo kunakuwa na Mata,Matic,Herrera timu inakuwa na balance.Lakini kuna mechi kadhaa, hata ile ya Manchester City, aliwaanzisha kwa pamoja.
I cant believe what you are saying. I cant believe if you are really a football fan. You are ruling out fans? Kweli hujui football ndugu yangu, hujui effect ya fans kweli?
Old Trafford ticket Sales, ambazo wananua FANS sio GLAZER, tutizame cheapest season ticket ambayo ina cost 798 Pound, multiply 70,000 (achie hizo tickets wanazouziwa away teams, also Old trafford kila match ni 99% full kama sikosei) inatupa total ya 55,860,000 pounds in one footbal year, Pogba shirts, ambazo wamenunua FANS sio Glazer family, ime amount to 190m pounds in just first week.
Heh!! Hebu vutia picha, leo all MU FANS wagome for the whole season kwenda uwanjani, wagome kununua hizo shirt sales, tuone kama they will be the same....
Nzi you shoudl doubt yourself na sio others, if you think fans dont play an important role in MU club. Duh! yaani ndio unajio wewe football fan kisha unasema fans hawana haki ya kuhoji au mie sichangii ata shilingi moja, unatambua kama kuna MEMBERSHIP CARD? zinatolewa bure hizi?
Siku hizi Utd ni underdogs tu...Kabla ya ile mechi kuanza, niliandika humu tutakuwa outnumbered and outplayed in midfield and that what happened. Mechi iliofuata akamuweka mmoja bench na kumuongeza Mata tukashinda kama leo. Tofauti ni nini? Ni hivi Martial na Rashford wote wanacheza pembeni hivyo katikati anabaki Herera na Matic vs 3 or 4 opponent's midfielders, ila Mata akiwepo anaingia kati hivyo kunakuwa na Mata,Matic,Herrera timu inakuwa na balance.
Pogba akirudi Mata bench kwa mechi ngumu atabaki Herera ,Matic na Pogba mechi ikiwa laini Mata ataanza.
Hata kama ungekuwa nayo upo huru mshabik wa barcelona hapa tunaish kama familyView attachment 653078
Sina maana mbaya
Nimeishia kucheka tu yupo huru mchukuen sasa..Van Gaal alileta man u mpira wa kuvutia pasi nyingi hakuna kudefend mkamtimua.....man u fans hamna jema
Thank you,I didn't expect Mr radika kama ungerespond hivyoHata kama ungekuwa nayo upo huru mshabik wa barcelona hapa tunaish kama family
Nipo boss..We cheka tu....afu unapoteaga sana jamani, si vizuri ujue
Inapendeza mama, pamoja sanaNipo boss..
Ila ukiona sipo huku ujue ni vimajukumu tuu vya kutafuta mkate vimenizidiaaa
Nakuongelea wewe, siyo fans in general! Mzee inawezekana una comprehension deficiency. Yaani unarukaruka kama mahindi kwenye popcorn machine! Kwani nafanya discussion na fans wote ama wewe?
Do you have membership card? Have you ever bought a ticket to from United’s ticket sales? Do you have even a genuine United’s merchandise?
Anyways, I’m not going to respond to you anymore. You have so much negativity that I don’t want to read or hear in this festival season!
One love!
AROOOOO,!!! Pacha missing you so much.Nipo boss..
Ila ukiona sipo huku ujue ni vimajukumu tuu vya kutafuta mkate vimenizidiaaa
Aroooo!!! Nimekuham sana dear...Inapendeza mama, pamoja sana