Manchester United (Red Devils) | Special Thread

All aboard! 7 times Jose Mourinho parked the bus... and what happened next
 
Dah leo sijui kama tutapunguza gap kubaki 11. Nahisi zitabaki 14 ama 12.
 
Tetesi
Mkufunzi huo wa ManUnited boss Mourinho ana nafasi ya kusajili wachezaji mwezi ujao, licha ya kwamba sio shabiki wa msimu wa usajili Januari. (Daily Mail)
 
Tetesi

Mchezaji kiungo cha kati raia wa Armenia Henrikh Mkhitaryan, 28, ametemwa na mkufunzi wa Manchester United, Jose Mourinho baada ya kuzuka mzozo kati yao wakati wa tathmini ya mechi katika uwanja wa mazoezi mwezi uliopita. (ESPN)
 
aiseeee kweli tupu
 


chilubi sio kirahisi hivyo kama unavyofikiria the fall of manchester united lazima utambue hakuna timu isiyopitia kipindi cha mpito labda arsenal na liverpool tu wao hawapendag kutumia pesa ila ukifuatilia tukianzia barcelona ulikuwa unaiona miaka ya 2000 had 2008? madrid toka 2002 had 2010? njoo buyern toka 2002 had 2009 hizo zilikuwepo ila hazikuwa na nguvu baada ya wachezaji wao manguli kustaafu

ukija sauala la manchester united sio kazi nyepesi kama unavyofikir wamepita makocha wa ngapi? hiyo ni baada ya sir alex kukaa miaka 26 unafikir ni jambo jepesi ndugu mpeni credit mourinho na heshima

ukija suala la bodi hapo umekengeuka ndugu kwamba hawapo sirias huo ni uongo angalia thaman za wachezaji wanaonunuliwa utailaumu vipi bodi ndugu?

zama za mwisho kipind sir alex anastaafu kuna baadhi ya wachezaj walikuwa tayar umr umekwenda hadi anaondoka hatukupata kiungo mkabaj had alimuomba scholes arud uwanjan leo mnalaumu mourinho kama ana miaka 3 kumbe wapi


ukiangalia ktk mapendekezo yake ya wachezaj safar hii kampata mmoja tu victor lakin wa 3 hakupata chukulia tu kampata perisic na greizman huoni kama alikuwa anatimiza lengo lake?

wakina martial ni wachezaj wazur lakina hawana form ya kudumu leo yupo safi kesho hovyo kocha afanyaje?
 

Bro, umeleta link kuonesha mara 7 Mou akipark Bus..... 7 out of how many big games hebu nambie where he didnt park the bus back then.

Kwa analysis ya izo individual games, sio Mou tu ambae anacheza defensive play. Hata fergie kuna some games anaplay defensive.

Na trend ya Mou parking the bus imeanza Inter, kwa sababu hapa ndipo alipoanza ku abuse his system. Lazio na Porto, gemu ambayo porto alikuwa kashampiga nne mwanzoni, hata guardiola na expect kujali kudefend tu next leg na sio kutaka kuongeza mana you are running a risk of players being injured.
 
ifike mahali tutambue mchango wa mournho ni mkubwa mno ukikuta hata wamiliki wa timu hawaongei ujue wameona kuna kitu mashabik siku zote ni watu wa matokeo

kuijenga timu iliyoondokewa na kocha aliedumu kwa kipind kirefu sio jambo jepes hata arsenal akiondoka wenger mtaniambia shughuli yake
 
wakati wako wa kumtetea mourinho sasa ila ukweli unabaki pale pale team yenu inashinda lakini mchezo hauvutii kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…