Hizi ni statistics za mechi kati ya Chelsea VS United 2014-2015 ,Game ya OT iliisha 0-0Eeeh hata sisi wenyewe walitushambulia sana na ukipata kamuda cheki replays.
jinsia yako pleaseSifa za mashabiki wa man u;
1.Hawajui mpira,wengi wao hufuata mkumbo
2.Wanaongea sana kuliko uwezo halisi wa timu yao utawasikia leo tunashinda 4g halafu wanashinda 1g au wanapata kipigo kabisa
3.Ni mabingwa wa kuvamia thread za watu hata kama wao hawana mechi halafu mambo yakiwaendea kombo huingia mitini tafikir hawapo
4.Wakifungwa mechi husingizia mchezaji fulani hayupo eg PP
5.Timu yao haijui kucheza mpira ila wanalazimisha ionekane inajua utasikia man city tuliwabana walitubahatisha magoli tuliwapa pasi sisi,mara hatutaki kuposses mpira tunacheza mpira wa mashambulizi wa fergie halafu wanaambulia shots on target 4 mechi nzima
Ushauri:Hamuwezi kupambana na city na sasa mnatakiwa kupambana ili mshiriki uefa next season
Ww Hujanielewa namaanisha nakuja humu kuponda matabia yao baada ya wao kuvamia kule halafu wakisagwa wanakimbiahuenda na wao wanakuja huko kuwaponda kwa kuja kwenye thread zao...
Poa mke wanguSawa mrembo..
Huko kwa makocha umeenda mwenyeweStory imebadilila Kwa hiyo brighton alivyomfunga moyes bao 3 ana uwezo zaid ya wenger?
Nani ashangilie ushindi wa cityUnajipoza machungu Sawa mashabiki wa arsenal mnajua mpira msaidieni kocha wenu muongoze ligi toka juz upo huku ilikuwa unashangilia ushindi wa city akasahau kama moyes anakusubili toboa sasa