Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, well said. Agiza soda Lukaku atalipa. Ggmu
 
Mark Clattenburg says he knew he wanted to quit refereeing in the Premier League after a tirade by Jose Mourinho
kafata pesa za waarabu huyu hana lolote
 
Teams won't be "jumping with happiness" to play Man United in the Champions League round of 16, says Jose Mourinho
 

No bro, it is not so, Manchester city team is good because they are full of movements, ideas and different plans. If you stop one idea they will find other which works.

They can push wing backs and the whole team forward, further up the pitch, it is extremely difficult to defend even for 20 minutes without making mistakes.
 
hata chelsea mwaka jana walikuwa hivyo, wingback nzuri za moses na Alonso, kina pedro wapo form na costa, ngolo kante, matic, hazard etc ila mourinho alikaba watu wawili tu hazard na matic waliobakia wote wakawa wanazurura tu uwanjani hawajielewi.

kwa macho yako ya kawaida unaona hivyo, ila makocha wataalamu wanaona zaidi yetu, tusubiri mechi tutaona.
 

Mhh, ok, you call yourself expert, mtaalamu mwenye macho yasiyo ya kawaida na wenzako makocha wataalamu. We will see.
 
Chonde chonde United msidhubutu kupaki basi kwa hao wenda wazimu wanaolazimisha magori .....Hilo gari mtakalo paki hakikisheni mna weka umakini msije kupaki Busi kwenye Eneo ambalo wenzenu wamesimamisha misumali ....😀😀😀😀
 
Tetesi
Ivan Perisic, 28, wa Manchester United amefichua kuwa Kocha wa Inter Milan Luciano Spalletti alijaribu kumshawishi asahame Italia badala ya kuhamia Old Trafford. (Mediaset via Manchester Evening News)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…