I dont question Jose ability ila mie nasifu ability yake kupata matokeo na kile alichonanacho na pia yeye ameshasema kwamba anahitaji wachezaji flani na pia Lukaku anamchezesha anavyomchezesha kutokana na hana mbadala wake kwa sasa.With all due respect chifu, ina maana you are better than Josè and all the coaching staffs at Carrington? Wewe unatumia base gani ku-question formation na uchezaji wa timu na wachezaji? Josè na benchi lake wapo na wachezaji muda wote na mazoezini. Hivyo kinachotokea uwanjani kimeshakuwa simulated at least hata kwa asilimia kadhaa!
Wewe unatumia nini kujadili formation?
Pia hili la formation ya timu mbona lipo wazi kuna makocha na wadau mbali huwa wanaongelea makosa ya timu na uchezaji kila baada ya mechi.Sidhani kama kuongelea mapungufu ya mchezaji flani ni kumnyima sifa zake, hili suala lipo wazi sana kwa kila timu.