Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sipunguzi ila nina mpango wa kuchochea mafiga moto ukolee.

Picha za muhimu kwako kwangu ni.majitaka na kinyume chake

Lini utaanza kacha kulalama na kudondosha nondo?
 
huwa najiuliza mpaka kesho ni nini kilitokea mpaka kumtema di maria
Kiwango kilishuka baada ya wezi kumtokea kwake akapoteza mwelekeo ingawaje alianza vizuri.

Pili hakupenda khali ya hewa hasa mvua na baridi

Tatu mkewe alimsisitizia wahame hakuwa na imani na usalama wao

Mbaya zaidi aligoma kurudi na kushinikiza auzwe

Na alipouzwa akamlaumu Van Gaal kwa kumpanga namba isiyo yake na Luis alijibu mapigo kwa kudai ni vyema akajipima
 
Sipunguzi ila nina mpango wa kuchochea mafiga moto ukolee.

Picha za muhimu kwako kwangu ni.majitaka na kinyume chake

Lini utaanza kacha kulalama na kudondosha nondo?
Na wangejaribu kuchanganua picha za muhimu zipi na zisizo za muhimu zipi maana wasije wakawa wanakaka upost za sanchoka maana wabongo wanapenda chura kama nn
 
Kwa Spurs musimu juu AWAY games ni 100%. Kwa hiyo siyo wa kubezwa hata kidogo!

Pia sisi, so far, rekodi nyumbani nayo ni 100%

Mmoja au wote rekodi hizi mashakani

 
Herrera hawaendani na matic ndomana tangu aumie fellaini magoli ya mekuwa machache
Tatizo siyo mtu ila kiwango kimeshuka pasi nyingi zinapotea na mikwaju langoni hakuna

Tulipocheza na Liverpool ni mkwaju mmoja tu dhidi ya Liverpool sasa ni midfield au timu nzima safari UEFA zimewachoshwa na kushusha kiwango
 
Tatizo siyo mtu ila kiwango kimeshuka pasi nyingi zinapotea na mikwaju langoni hakuna

Tulipocheza na Liverpool ni mkwaju mmoja tu dhidi ya Liverpool sasa ni midfield au timu nzima safari UEFA zimewachoshwa na kushusha kiwango
tatizo sio timu mbona pogba na fellaini wakicheza mpira unaenda mbele why herrere usiebde kunatatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…