mkuu nimekutajia hapo juu nafasi za pembeni kuna
-wing forward (martial, ronaldo, anavyochezeshwa rashford etc) huyu ni winga anaeingia ndani sio anaehitajiwa man u, tunao wengi wa design hii mata anacheza, yule mtoto perreira anacheza, mkhitaryan anacheza, etc
-kuna natural winger pia unaweza muita old school winger design ya perisic ambaye anakimbia na mpira pembeni na kutia cross, kipindi cha fergie hawa walikuwepo wa kutosha kina Giggs enzi zake, valencia na young enzi zao, richardson, etc.
na haya si maneno yangu mkuu, press conference kibao mou amesema anataka wide man, sio kwamba hajamuona huyo martial au rashford, anawaona ila anajua hawawezi kazi ya winger.
Na hata ukiwa na goli 100 na assist 100 kama kwenye mechi muhimu unashindwa tekeleza alichokuambia kocha ni bure, mechi ya liver ni mfano mzuri.