Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Salute mkuu nimekuelewa sana
 
Mkuu umeeleweka, watu wengine tu wanajifanya vichwa ngumu kujifanya hawaelew
 
Wewe kaa kwa kutulia. .liver timu mbovu inakutoa jasho ivo, ukikutana Toti Chelsea ...


Mimi Timu Ninayoiyogopa Zaidi Ndani ya EPL ni Man U... Kinyume Chake Man U Ndani ya EPL timu wanayoiyogopa Zaidi ni Liverpool..

Lakini wewe Ulioanza Kuangalia Mpira 2013 unachokijua Ni Kwamba Man U wanaiogopa Chelsea, Man City na Spurs..
 
Mimi Timu Ninayoiyogopa Zaidi Ndani ya EPL ni Man U... Kinyume Chake Man U Ndani ya EPL timu wanayoiyogopa Zaidi ni Liverpool..

Lakini wewe Ulioanza Kuangalia Mpira 2013 unachokijua Ni Kwamba Man U wanaiogopa Chelsea, Man City na Spurs..

ktk mechi ambazo ni ngumu basi ni liverpool wakikutana na manchester united kwanza hata siwezi kutabir matokeo yao mpira wa hizi timu historia yao inaifanya kuwa mechi nzito mno mjuz wa mpira hapa nikukaa kimya tu kuna jamaa humu nlimuambia mech yetu na liverpool haitabirik na kweli nafakir kajionea
 
Mchezaji mmoja wa Benifica katoka damu kichwani. Na kwa mjibu wa shabiki mwenzagu bandani hapa, timu ambayo mchezaji atatoa damu uwanjani, hushinda. Ngoja nione kama uchawi huu utashinda.
 
Sio kwamba hatutaki ..ila man city daah! Hashikiki... kama aliweza kutufunga sisi ..sioni kama man u atapona.

Kwa nini mashabiki wengi wa chelsea huamini timu yao ni kipimo pale epl wakat kabla ya conte mlimaliza wa 10 united wa 6 msimu ulioisha mmechuku kombe moja tu wakat united kachukua europa na culling ulitufunga kwako tumekufunga old trafod timu ngumu england ni liverpool tu

Hapa naanza kuona kuwa mpira mmeujua karibun
 

Mkuu Ukweli Ni Kwamba Washabiki Wengi Wa Chelsea Walikuwa ni Washabiki Wa Arsenal Walihama Mwaka 2005 Wakahamia Chelsea Kumfata Mourinho Wakivutiwa Na Drogba Kwa Wakati Huo...
Kwahiyo Hao Washabiki Wa Chelsea Ni Watu Wasiojua Mpira Na Ndiyomana Wanahisi Chelsea Ndiyo Timu Pekee Wanayoona Ndiyo Timu Ngumu EPL...
Hao Njia Yao Ya Kuwazima ni Moja tu!!!!
Wakijisifu Kuwa Chelsea Ndiyo Kigezo cha Timu Bora EPL waulize hivi "UNAKUMBUKA MARA YA MWISHO KUMFUNGA LIVERPOOL EPL NI MWAKA GANI?"
Uone kama atakuquote tena..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…