Timu yetu kwa sasa inaogopeka karibu na kila timu hapa EPL, Kwanini acheze kwa kujihami namna hii.? Timu ikishaanza kucheza mchezo wa ku defend inakuwa under pressure muda wote...
Tumewaacha Soton wajitawalie mchezo kipindi cha pili utafikiri wanacheza na C.palace..!! Wametuchezesha utafikiri si timu iliyoko kileleni. Najua alikuwa uwanjani huku akiiwaza mechi ijayo CL... lakini bado hakutakiwa kujilinda namna hiyo.
Timu zote duniani kwa sasa hazilindi kigoli kimoja (hata yangekuwa 4g) kwa kujilinda namna hii... Beki 6 plus 3DM....!!! Hapana Mou siku nyingine usifanye hivyo aisee wengine tumetoka kutibu Madonda ya tumbo kama si pressure juzi tu hapa.