Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game kocha ndiye wa kulaumiwa. 4 yellow cards kwa timu km hii?? Timu ina-struggle sana
 
Ushindi mwembamba, city kapiga mtu tano bila. Hivyo anatuzidi goli 4.
 
Mou amefanya nini niliona anatoka nje kabla ya game kuisha
 
Bado tuna shida kwenye midfield , tukubali. Lukaku hakuwa na supply ya mipira kabisa.

Nadhani Herrera anapaswa kuwa mbadala wa Pogba na Matiki na Fella aanzie Benchi.

Timu ni nzito sana, mnyumbuliko shida
 
Mou leo sijamuelewa....

Timu yetu kwa sasa inaogopeka karibu na kila timu hapa EPL, Kwanini acheze kwa kujihami namna hii.? Timu ikishaanza kucheza mchezo wa ku defend inakuwa under pressure muda wote...

Tumewaacha Soton wajitawalie mchezo kipindi cha pili utafikiri wanacheza na C.palace..!! Wametuchezesha utafikiri si timu iliyoko kileleni. Najua alikuwa uwanjani huku akiiwaza mechi ijayo CL... lakini bado hakutakiwa kujilinda namna hiyo.

Timu zote duniani kwa sasa hazilindi kigoli kimoja (hata yangekuwa 4g) kwa kujilinda namna hii... Beki 6 plus 3DM....!!! Hapana Mou siku nyingine usifanye hivyo aisee wengine tumetoka kutibu Madonda ya tumbo kama si pressure juzi tu hapa.

Hongera zetu kwa ushindi though...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…