Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Uyo ameongea tu kwa mtazamo wake ...hakuna effect yeyote kubwa itakayotokea kwenye kikosi cha Chelsea kwa sababu ya kuondoka kwa matic ..hata mimi nakiri ni kosa kubwa bodi ya Chelsea imefanya, lakini pengo lake limepata jino tiyari."Biashara mbaya sana"
Kiungo wa zamani wa Chelsea Ray Wilkins amesisitiza kwamba mauzo ya Nemanja Matic kwenda Manchester United, ni " Biashara mbaya kuwahi kuiona kutoka Stamford Bridge."
Matic aliruhusiwa kuhamia United kwa Pauni Milioni 40 majira haya ya kiangazi baada ya kuwa sehemu ya kikosi kilichotwaa taji la ligi kuu ya Uingereza msimu uliopita.
Matic,29 ameanza vizuri maisha yake katika dimba la Old Trafford na Wilkins ( ambaye aliwahi kuwa kocha msaidizi wa Chelsea chini ya Carlo Ancelotti ) ameshangaa kuona Chelsea wamemruhusu kiungo kujiunga na wapinzani wao kwa ada ya kawaida.
Akiongelea kuhusu uhamisho huo Wilkins amesema," ni biashara mbaya kuwahi kuiona . Siwezi kuona sababu hata moja ya kufanya hivyo katika maisha yangu."
"Una mtu ambaye alikuwa muhimu sana ndani ya Chelsea katikati ya kiwanja akiwa na [N'Golo] Kante na kuisaidia Chelsea kutwaa taji halafu ghafla unamuuza kwa mmoja wa mahasimu wako wakubwa."
"Nasema sisi kwasababu na mimi ni mshabiki wa Chelsea , kwahiyo naongea kutoka moyoni kabisa."
"Yani sioni kwanini tumemruhusu Nemanja kwenda pale , alikuwa bora sana kwetu na hata sasa unaweza kuona kwa kipindi hiki kifupi amemuwezesha [Paul] Pogba kwenda mbele na kufanya chochote anachokitaka ."
"Kiukweli sikuifikiria biashara kama hii hata kidogo."
Uyo ameongea tu kwa mtazamo wake ...hakuna effect yeyote kubwa itakayotokea kwenye kikosi cha Chelsea kwa sababu ya kuondoka kwa matic ..hata mimi nakiri ni kosa kubwa bodi ya Chelsea imefanya, lakini pengo lake limepata jino tiyari.
Najua utapenda tu![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Manchester United's executive-vice chairman Ed Woodward has been appointed onto UEFA's Professional Football Strategy Council, following changes to the committee and leadership of the European Club Association.
The position sees Mr Woodward placed as one of four
Moja ya ma CEO nawakubali sana...uyo jamaa anatusaidia sana Man U kwenye swala la biashara...ilikua ni kazi sana kupata mafanikio nje ya uwanja , wakati ambapo timu inacheza vibaya.
Ukija kwenye Brokers aka Agent , the Wakala namkubali sana Mino Riola...jamaaa anajua sana kutega mitego ya kupiga pesa.
Most of them wako salama...na michuano ya kombe la dunia nadhani ishaisha...Tuombe wachezaji wetu warudi salama...
October nafikiri ndio games za mwisho....moja mojaMost of them wako salama...na michuano ya kombe la dunia nadhani ishaisha...
Jamaa anajua sana kusaka vijana wenye vipaji na kuwaweka kwenye list ya wachezaji anaowasimamia.Sir Alex Ferguson alishawahi kusema moja katika ulimwengu wa kabumbu anawaogopa na anawachukia mawakala wawili tu na mmoja wao ni Mino Raiola. Mino alishawahi kumwambia babu ferg kwamba hata kama yeye “ferg" ni kocha mzuri na mkubwa duniani ila huwa anafanya makosa ya kimakusudi sana na Mino akapigilia msumali kwamba kosa la pekee kabisa alilolifanya Sir Alex Ferguson ni kushindwa kutabiri ni kwa jinsi gani Pogba atakuja kuigharimu manchester united. Mino Raiola ndo mtu anayeupoteza umaarufu wa George Mendes siku za karibuni jamaa anapiga dili sana miaka ya karibuni. Ninachomkubali Mino Raiola huwa hakwepeshi maneno rejea kauli yake kuhusu uchaguzi wa fifa. Huwa namwita mr. Money Mino raiola
“I’ll find five FAs to back me. It’s incomprehensible that some FAs still vote for Blatter. If people vote Blatter, they are voting North Korea, if they vote me, they are voting South Korea.”
#GGMU#
October nafikiri ndio games za mwisho....moja moja
Huyo jamaaa ni Fundi mno kwenye david gill alikua Fundi mno kwenye usajiliMoja ya ma CEO nawakubali sana...uyo jamaa anatusaidia sana Man U kwenye swala la biashara...ilikua ni kazi sana kupata mafanikio nje ya uwanja , wakati ambapo timu inacheza vibaya.
Ukija kwenye Brokers aka Agent , the Wakala namkubali sana Mino Riola...jamaaa anajua sana kutega mitego ya kupiga pesa.