Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mane
Salah
Firmo
Kama wana switch team wanaenda Man U now moja kwa moja wanaanza kikosi chenu cha kwanza!
Mane na armband anapewa kuwa nahodha!
Acha utani wewe
Pale mbele kwenu atacheza Lukaku tu
Akae nje Salah aanze trash Martial?
Wanachukua nafasi ya nani?? hebu peleka ujinga wako huko

Pogba? Mata? Rashford? Herrera? Lukaku? Matic au nani??? Martial?? unaota mchana wewe..Mikh??? Mr Assists??
 
Wanachukua nafasi ya nani?? hebu peleka ujinga wako huko

Pogba? Mata? Rashford? Herrera? Lukaku? Matic au nani??? Martial?? unaota mchana wewe..Mikh??? Mr Assists??
Hao magarasa ndiyo wanamtoa nani Liverpool sasa?
Mane akae nje sababu ya Mata?
Huyo atakuwa kocha au kichaa?
 
Hapo kuna team kweli umetaja au magarasa?
Swansea amkute Liverpool kamili ni 6-0
Kwann hukumfunga hizo goli Watford au Palace???

Unamfunga Arsenal aliefungwa na Stoke city, kanusurika kupigo vs Leicester City unasema nao n timu???
 
Mane
Salah
Firmo
Kama wana switch team wanaenda Man U now moja kwa moja wanaanza kikosi chenu cha kwanza!
Mane na armband anapewa kuwa nahodha!
Acha utani wewe
Pale mbele kwenu atacheza Lukaku tu
Akae nje Salah aanze trash Martial?


Huyo filmino atapata namba wapi wakat tuna mata na mkhitaryan atatokea benchi huyo mbrazil wako kwa manchester ile
Kidogo mane anaweza ila salah du takataka hiyo arsenal asikupe kibur mnavyochinganya halafu et klop kocha bora kwa liver ndani ya misimu 20 iliyopita wakat benitez ndo alikuwa na timu nzur pamoja na gerald hourier yule kocha mfaransa clop hamna kitu msimu wa tatu huu hana kitu mourinho msimu wa kwanza umemuona? Nakutajia chama la 8 lililompiga arsenal lilikuwa simpo tu

De gea
Smalling
Evra
Jones
Evans
Anderson
Cleverly
Young
Nani
Welbek
Rooney

Hiyo timu ilikuwa ya kawaida sana

Kaa na mshabiki wanzako wa liverpool wakueleze sifa za unahodha
 
Hao magarasa ndiyo wanamtoa nani Liverpool sasa?
Mane akae nje sababu ya Mata?
Huyo atakuwa kocha au kichaa?


Huyo mane van gal angeamua angemchukua hakumuitaji kamcheki mara nyingi sutton walitaka 35 tunakupa siri liverpool kidogo mchezaji alietimia ni coutinho tu hayo ma salaaa
 
Kipindi cha van gal walisimama yeye na blind walifanya vizur sna tulifungwa goli chache ukiacha spurs nafikir ni mfumo wa kocha ila atakaa sawa tu mechi ya eufa zidi ya fc basel watasimama yeye na lindelof kuna kitu mourinho anatengeneza baily anacheza vizur akiwa na rojo + jones smalling hao wote haendani nao kocha ajaribu kumuandaa na lindelof kuwajengea partnership ni suala la muda tu.
Hao watoto ulowataja kama ndo mnawategemea uefa basi safari yenu itakuwa fupi.

Mourinho itabidi ajipange ..UEFA hatuitaji watoto!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna team kweli umetaja au magarasa?
Swansea amkute Liverpool kamili ni 6-0

Wenger kawatoa watu mafichoni tayar mshaanza kuna jamaa yako nae msimu uliopita alikuwa anashinda sna humu mara msimu huu tunafuta uteja alishindwa kuyarudia maneno yake ulipofika mwezi wa pili pumzi ikakata mkaanza kugombea nafas ya nne nenda kwenye uzi wenu kuanzia mwez wa kwanza utakuta watu walianza kuandika clop out. KILA MWAKA NI MWAKA WA LIVERPOOL LIGI IKIISHA MNAJIJUA WENYEWE.
 
Hao watoto ulowataja kama ndo mnawategemea uefa basi safari yenu itakuwa fupi.

Mourinho itabidi ajipange ..UEFA hatuitaji watoto!

Sent using Jamii Forums mobile app


Umeilewa mada lakin tuliyokuwa tunaiongelea na jamaa?

TUJE KWENYE UMRI SASA.


Kwa kukusaidia tu tulipochukua ubingwa wa ulaya 2008 ronaldo alikuwa mbele mshambuliaji rooney anatokea pembeni katikati alikuwepo carick

Swali drogba , terry ,balack na anelka walikuwa na umri gani kuwashinda hao? Kama umri kigezo Kwa nini msichukue kombe?


Mechi iliyoisha ulipigwa 2-0 old traford bila hata shorts on target mbele yupo rashford na lingard wakat una cahil na luiz hao walisimama kama mabeki umejiandaaje na wewe kucheza uefa? Broo uwe una fikiria kidogo basi mnatuchosha.
 
Back
Top Bottom